Tupewe na risiti jamani!

Tupewe na risiti jamani!

hii huduma unaihainisha kakati imprest unayochua?kama ndio sawa la sivyo unaritire vipi ?
 
SIKU MOJA SAMSONIMFALILA ALINAMBIA NISOME KITABU CHA DANIEL KUNA HABARI YA SANAMU YENYE MCHANGANYIKO WA SHABA,CHUMA NA UDONGO....YALE MANENO HUWA HAYANITOKI KWA KWELI......nadhani hapa anaongelea wanaopokea sadaka na mafungu ya kumi.....yawe yanatolewa risiti for future reference.....ili ukipata baraka unasema because nilitoa sadaka kwa mama lwakatare..........ILA HUDMA YA UKAHABA NA ISHINDWE KWA JINA LA YESU ALIYE HAI.......TUOE NA WAKE ZETU WATATUPA KILICHO BORA ZAIDI YA HUDUMA ITOLEWAYO RISITI....HIYO 15,000-20,000 UKIACHA NYUMBANI NI BREAKFAST AMA LUNCH AMBAYO NYUMBANI WATOTO WATAMWAGA DUA ILI BABA UPATE TENA ZAIDI NA ZAIDI.....! AAAMMMEN....!

kilicho bora ulishakiacha unakojua mwenyewe alafu unategemea kupat kilicho bora kutoka kwa mkeo inawezekana kweli hiyo.
 
Bihashara haramu ya ngono! kujiuza machangudoa wawe wanatembea na mihuri , vitabu vya risiti na kalamu, watasahau kubeba zana sasa , halafu ile kasi ya chapchap inapungua, na hapo inabidi wafungue ofisi kabisa

acha ngono
 
Sodoma na Gomara itakuja kwa namna ya ajabu ....
Ni kama unawazo la kuifanya biashara ile iwe halal..... :nono:
 
Waziri Kinyondo RIP akiwa waziri wa kazi kipindi hicho alikuja na pendekezo la kuwatoza kodi watu hawa japo kidogo ili serikali iwatambue na wao wajione wanachangia uchumi. Hii adhani ni model ya uholanzi

Sweeden nasikia biashara/huduma ya ngono ni halali lakini inatakiwa kuwa bure. ukitoa/kuomba pesa ni kosa unaweza kufungwa. Ukikutana na demu anajiuza we una uhakika wa kumkamua na kuondoka bila kutoa chochote. teh teh teh
 
risiti za dukani/gengeni unazo ngapi leo hii mpaka utake na hizi?! basi mwishowe utataka muandaliwe menu na prices zake🙂

Belinda hii mbona ipo unaulizwa unataka huduma gani? ya mdomo,kawaida au ile ya kujikoki na unataka mara moja au usiku wote na unaelezwa bei zake.
 
Back
Top Bottom