Tupewe na risiti jamani!

hii huduma unaihainisha kakati imprest unayochua?kama ndio sawa la sivyo unaritire vipi ?
 

kilicho bora ulishakiacha unakojua mwenyewe alafu unategemea kupat kilicho bora kutoka kwa mkeo inawezekana kweli hiyo.
 
Bihashara haramu ya ngono! kujiuza machangudoa wawe wanatembea na mihuri , vitabu vya risiti na kalamu, watasahau kubeba zana sasa , halafu ile kasi ya chapchap inapungua, na hapo inabidi wafungue ofisi kabisa

acha ngono
 
Sodoma na Gomara itakuja kwa namna ya ajabu ....
Ni kama unawazo la kuifanya biashara ile iwe halal..... :nono:
 
Waziri Kinyondo RIP akiwa waziri wa kazi kipindi hicho alikuja na pendekezo la kuwatoza kodi watu hawa japo kidogo ili serikali iwatambue na wao wajione wanachangia uchumi. Hii adhani ni model ya uholanzi

Sweeden nasikia biashara/huduma ya ngono ni halali lakini inatakiwa kuwa bure. ukitoa/kuomba pesa ni kosa unaweza kufungwa. Ukikutana na demu anajiuza we una uhakika wa kumkamua na kuondoka bila kutoa chochote. teh teh teh
 
risiti za dukani/gengeni unazo ngapi leo hii mpaka utake na hizi?! basi mwishowe utataka muandaliwe menu na prices zake🙂

Belinda hii mbona ipo unaulizwa unataka huduma gani? ya mdomo,kawaida au ile ya kujikoki na unataka mara moja au usiku wote na unaelezwa bei zake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…