SIKU MOJA SAMSONIMFALILA ALINAMBIA NISOME KITABU CHA DANIEL KUNA HABARI YA SANAMU YENYE MCHANGANYIKO WA SHABA,CHUMA NA UDONGO....YALE MANENO HUWA HAYANITOKI KWA KWELI......nadhani hapa anaongelea wanaopokea sadaka na mafungu ya kumi.....yawe yanatolewa risiti for future reference.....ili ukipata baraka unasema because nilitoa sadaka kwa mama lwakatare..........ILA HUDMA YA UKAHABA NA ISHINDWE KWA JINA LA YESU ALIYE HAI.......TUOE NA WAKE ZETU WATATUPA KILICHO BORA ZAIDI YA HUDUMA ITOLEWAYO RISITI....HIYO 15,000-20,000 UKIACHA NYUMBANI NI BREAKFAST AMA LUNCH AMBAYO NYUMBANI WATOTO WATAMWAGA DUA ILI BABA UPATE TENA ZAIDI NA ZAIDI.....! AAAMMMEN....!