Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimetengeneza Taa ya Chooni na Bafuni, Nimesafisha nyumba, nimeblock watu 18 kwenye simu, Nimefua nguo,...
Hao watu wanekufanya nini mkuu
Pole sana mkuu,siku hizi kwakweli watu wamekuwa wagumu sana kulipa madeni,yani,mtu unamuamini lakini shida yake ikiisha anakudharau,kuna jamaa namdai pesa zangu,juzi ananipigia simu ananiuliza chimbo zuri ampeleke demu wake😂😂Wawili wameniomba Hela, Wengine ni michepuko ya zamani sijui kwann inarudi karibu na December, mwingine ni boss wangu nitamfungua jumatatu, wengine nawadai tokea mwezi 2018 naona haina maana nime give-up na nimewablock, sitaki kuona status zao wanakunywa bia wakati hela yangu hawalipi
Pole sana mkuu,siku hizi kwakweli watu wamekuwa wagumu sana kulipa madeni,yani,mtu unamuamini lakini shida yake ikiisha anakudharau,kuna jamaa namdai pesa zangu,juzi ananipigia simu ananiuliza chimbo zuri ampeleke demu wake😂😂
Ukifanya nini?Nimeshinda geto tu nimelala, baada ya kukesha usiku kucha.
Wakuu nawasalimia sana ,
Uzi huu ni endelevu kwaajiri ya kuambiana chochote kilichokutokea Leo,
mfano
1.Umepata mchumba au umekutana na mtoto mzuri
2 .umeibiwa,
3.kuna tukiololote mtaani kwenu
4.birthday part na invitation ya harusi ,
5.Umepata kazi
6.Unaumwa
7.unafuraha
9 umeshinda biko[emoji28][emoji28][emoji28]
10.Umepiga mkwanja na madili mengi
11 umetoka out
. N.k
Jimwage kwa tukio lolote ulilokutana nalo Leo. Uzi endelevu
Binafsi leo nimerudishiwa deni langu nilililolidai miaka 5 hv. Kama laki tano kwa hiyo weekend kwangu ni nzuri
Uzi auend bila picha mkuu , rudi karudie ulete picha
Sijaelewa kitu, Andika vizuri Emar.Polo #wastend yup single