Tupia hapa maneno mazuri ya kumwambia umpendae

Mkuu naomba nipumzike kichwa kizito.

Tulio single tunateseka sana
 
Niambie mimi basi...nina uhaba ile mbaya
Umeifanya dunia yangu ya jf kuwa mahali pa furaha kwa sababu uko ndani yake, umeigusa nafsi yangu kwa njia ambazo maneno hayawezi kuelezea, kwako niko salama mno hata mods watalishuhudia hilo. Te amo mucho Demi 😘
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…