Rayns
JF-Expert Member
- Jul 29, 2023
- 3,620
- 7,818
Hahaa 😂Uniambie nini tena my
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaa 😂Uniambie nini tena my
Vipi ulifanikiwa mkuu??Hahaa 😂
Ndio mkuu, upo macho 😂Vipi ulifanikiwa mkuu??
Hahaa 😂
Ndio mkuu, upo macho 😂
ningekuwa na ndoa si ningeshaandikiwa maneno hapa. Nipo kama wewe tu hapoSijafunzwa kuharibu ndoa za watu. Tulia ndoani
Unapumulia mipira na cm yko 😂, vp naona leo shemeji alifika mchanaNipo hapa nataka simu iishe
chaji kabisa yaani maana ina asilimia 3
Eeeh me mwenyewe nilishangaaa imekuwaje 😃😃Unapumulia mipira na cm yko 😂, vp naona leo shemeji alifika mchana
Hahaa 😂 vp lakin mnaendelea vizuri tu?Eeeh me mwenyewe nilishangaaa imekuwaje 😃😃
Eeeh uwakikaHahaa 😂 vp lakin mnaendelea vizuri tu?
Haina noma mkuu usiku mwemaMkuu naomba nipumzike kichwa kizito.
Tulio single tunateseka sana
Kwako piaHaina noma mkuu usiku mwema
Tuma na ya kutolea kipenzi cha moyo wangu
Nimeshakuja go look babeBabe njoo now basi
Umeifanya dunia yangu ya jf kuwa mahali pa furaha kwa sababu uko ndani yake, umeigusa nafsi yangu kwa njia ambazo maneno hayawezi kuelezea, kwako niko salama mno hata mods watalishuhudia hilo. Te amo mucho Demi 😘Niambie mimi basi...nina uhaba ile mbaya
Ukorofi huo 😂Depression🤣🤣🤣
😂😂🤣Nakupenda zaidi ya Messi anavyopenda Ballon d'or, hata ukinitesa kama Manchester united sitakuacha kwakua wewe ndo FA Cup ya moyo wangu, sasa Manchester united wa moyo wangu ntakuacha vipi na ninakumbuka tulimfunga Arsenal 8-2?
Nitese kama Bernard Morison alivyoitesa Yanga ila nitakuvumilia na nitakurudisha tena Moyoni, tunapitia mengi ila nikikuona natabasam zaidi ya shabiki wa mnyama anaekumbuka ushindi wa Simba kumfunga Yanga goli 5-0.
Kwa madini zaidi lipia ada.