Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahaha utaumbuliwa mkikosanaAisee!
Ili uje kunifungulia uzi humu!
Wewe sikupi.
Nilijua tu lazima ahhahaahSitokuwa tayari.
Asante mkuu...Oooh
Pole na kilimo Mkuu
Nipo rafiki mwemaDaah!!Umeadimika sana NAHUJA.. Kheri ya Mwaka Mpya!!
Heri ya mwaka mpyaAsante mkuu...
Hapa kazi tu kama mkulu alivyo sema tulainishe kwa grease...
Mkuu upo???
Konda wa boda boda yupo kozi ya uafisa monduli ila kuna kipnd huwa anaingia jukwaaniHimidini nakumbuka tulikuwa tunashare Id moja
Excel uzuri wake huyu kaka unasadifu ID yake
Nyumba kubwa mamaa ya kitchen party
Konda wa boda boda ana ID kama 6 na mgoni balaa
Maskini pole sanaaSnowBall uko wapi?
Najua ulinihukumu kwa jambo ambalo sikulitenda
Nafsi inaniuma mpaka leo.
Ben Saanane....nitakupenda milele.
Kama bad uko hai, najua tutaonana.
kiplagati26, Ukomando China ushamaliza.
mwaka jana Disemba 2017, nini shida?, hujarudi Tanzania bado?
Pacha wako niliwasiliana nae
Uzi huu umefanya niwakumbuke wapenzi wangu wa zamani
[emoji813][emoji813][emoji813][emoji813][emoji813][emoji813][emoji813][emoji813][emoji813][emoji813][emoji813][emoji813][emoji813][emoji813]
Nipo sana Comrade, zaidi napambana na haliyangu huku Buhuntubili njia panda kuelekea Imalamagigo kabla haujafika Nyamakwenke karibu na NyaluyeyeMkuu upo???
Kwani ulishaondoka kasungamile...au ndo ulihamia nyanchencheNipo sana Comrade, zaidi napambana na haliyangu huku Buhuntubili njia panda kuelekea Imalamagigo kabla haujafika Nyamakwenke karibu na Nyaluyeye
Yule Juhha sanaKonda wa boda boda yupo kozi ya uafisa monduli ila kuna kipnd huwa anaingia jukwaani
Asante mkuu, nishapoaMaskini pole sanaa