Tupia jina la memba mmoja wa JF ambaye katoweka humu

SnowBall uko wapi?
Najua ulinihukumu kwa jambo ambalo sikulitenda
Nafsi inaniuma mpaka leo.

Ben Saanane....nitakupenda milele.
Kama bad uko hai, najua tutaonana.

kiplagati26, Ukomando China ushamaliza.
mwaka jana Disemba 2017, nini shida?, hujarudi Tanzania bado?
Pacha wako niliwasiliana nae

Uzi huu umefanya niwakumbuke wapenzi wangu wa zamani
♥♥♥♥♥♥♥♥♥♥♥♥♥♥
 
Maskini pole sanaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…