Patience123
JF-Expert Member
- Mar 10, 2013
- 5,092
- 8,784
manuu yu wapi?Karibu tena mkuu, tutaonana kule kwetu Kapuku INC!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
manuu yu wapi?Karibu tena mkuu, tutaonana kule kwetu Kapuku INC!
AmavubiJina nimemsahau lakini miaka ya nyuma ilikuwa kila uzi unaopostiwa lazima auwekee picha inayoendana na mandhari ya uzi
Mkuu naona huu uzi.umewaleta tena,habari ya miaka mkuu?
sifahamu mkuumanuu yu wapi?
Niko salama mkuu namshukuru Mungu....Poa kabisa Mkuu namshukuru Mwenyezi Mungu [emoji1431], za kwako Mkuu?
Kuna mshefa ana visima vya mafuta aliniputa ngoma hapa.Gaijin, very intelligent kaolewa UMANGANI nahisi Dubai ila sina uhakika. I miss her so much, I hope she is okay maana ndoa za umangani nyingi zina majaribu makubwa hasa kama mume ni mwarabu.
Huyo Malaria Sugu huenda yuko segerea kwa kesi za uhujumu uchumi maana alikuwa mtetezi wa ccm hatari na mwenzake MUSALANI
Kuna mshefa ana visima vya mafuta aliniputa ngoma hapa.
Nilikuwa radhi kuvaa kanzu kwenda Zenji nikasome kisomo na kula mpunga wa biriani la zaidi ya "Passing Show".
Nilikuwa namwambia, "Nyumbani si wanawajua Makomredi? Basi utawaambia tu huyu anavaa kanzu lakini Komredi".
Niko salama mkuu namshukuru Mungu....
Mkuu ulitaka kuniingilia reli zangu sio?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]There you go lol! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Basi mie nilikuwa napiga speed ile mbaya. Tulikuwa na kawaida ya kuchat sana kwenye PM kila nikiingiza gia anachomoa kwa kudai alikuwa na mpenzi wake hapa jamvini lakini hakutaka kuniambia.
Nikaanza uchunguzi wangu na kugundua kwamba you were just too sweet to her than any other lady on this forum[emoji12][emoji12][emoji12]
Nikamuuliza mupenzi wako ni Kiranga? Kwanini unadhani ni Kiranga? Nikajibu karibu kila uzi alipo kiranga nawe upo and vice versa. Jibu lake. mbona nawe upo karibu katika kila uzi ambao mie nipo? [emoji23][emoji23][emoji23]
Hakuniambia nani ni mpenzi wake, lakini kutokana na uchunguzi wangu nilihisi ni wewe,
Mkuu ulitaka kuniingilia reli zangu sio?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tulikuwa tunagombea wengi pale.😂😂😂😂😂 ungejipatia mke bora sana Mkuu.
Tulikuwa tunagombea wengi pale.
Hapo ndipo utajua "many are called, but the chosen are few" kama usaili wa maombi ya kazi BOT!
Nawataja hawa Wafuatao...kiukweli kuna namna naona Gap lao...
1.YOYO
2.GAME THEORY
3.NGULI
4.BOFLO
5.MBU
6.BALANTANDA
7.ABTICHAZ
8.MIKE MUSHI (JF CO FOUNDER)
9.CHAI CHUNGU (mzee wa chai)
10.COMPANERO
hapo kila mtu ana touch yake, sijui wapo au hawapo...ila kama GAME THEORY alinifungua macho Mambo mengi ya nje ya Africa....
Michango yao tumeimiss sana.....kama wapo then wapite hata wasalimie tu then wapotee zao
cc...BAK,NN,ASHADEE and others