Fund man
JF-Expert Member
- Feb 24, 2021
- 3,629
- 4,831
🤣🤣🤣🤣💺Utopolo walienda na matokeo uwanjani. Walidhani Simba itafungwa. Haikua hivyo. Kauli zao kwa Sasa ni:
1. Simba asanteni kwa kushiriki.
2. Wakienda Misri watapigwa nyingi.
3. Ingekua Yanga tungeshinda goli 5 kama za KMC.
4. Al Ahly wa kawaida sana.
5.........
6.........
NB: Uto mko kundi moja na Al Ahly CAFCL msijizime data mkajisahau.