Tupia kauli za wachawi wa Yanga baada ya mechi ya Simba na Al Ahly

🤣🤣🤣🤣💺
 
Tunazungumzia matokeo. Mambo ya sijui kuringa yamekujaje hapa.

Wadada wengine bhana kila kitu Ni mipasho
Kwa namna ulivyo amdika huu uzi inaonekana hata sare hukuiwazia. Yan unawapasha Yanga na mechi ni yako na haujashinda bado una ujasiri wa kukaa mbele ya wanaume kuandika huu upuuzi. SMH!!
 
Timu iliyofungwa na Ihefu ndiyo ifike mbali? Usisahau, Azam nao leo wana jambo lao estadio de mkapa
 
Kwasasa waarabu hawana hofu tena wakicheza na Simba kwa mkapa wamesha jua jinsi ya kudhibiti Tungulizenu.
Rajacasablanca walinwatandika na Ahly ilikua wawa tandike goli ata tano mna bahati.
Mechi ijayo upo uwezekano mkatandikwa tano, Dalili ya mvua ni mawingu.
Acheni porojo na tunguli, Ahly wako serious na soccer.

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Redio.haiwezi kuwa na mahala

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa mmepata hiyo mil 10?
 
Bhangi hazijawahi muacha mtumiaji salama! Watch out
 
Kijana aliyesema simba atafungwa sita huyu hapa👇
 
Ndio, kila goli unalofunga ni 10m, kwa magoli mawili ya jana ni 20m
Magoli yanakua counted kama timu imeshinda, kwanza ingekua ajabu kwa namna mlivyo pelekewa moto alafu mpewe na fedha, Ingekua Nchi yote imeambukizwa u mbumbumbu.

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 

Simba kaiheshimisha Tanganyika mbele ya dunia: Wachambuzi uchwara karibuni mtoe nyongo zenu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapa Ni baada ya matokeo ya mfukoni kufeli!

Hamna Cha kushika Ni full mahangaiko
 
Sasa mmepata hiyo mil 10?
Kila goli Ni milion 10 so siyo kumi Ni milion 20.

Mpumbavu km ww Hujui hata ahadi ya mama Ni Kila goli litakalofungwa Ni milion kumi.

Yamefungwa 2 Ni milion 20

Zwazwaaa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…