Ili kuwa je watu wakaanza kubetAndika swali au statement yenye kufikirisha akili.
Mimi naanza:
Hivi kati ya masikio na pua kipi kinashikilia miwani?
Hivi kila mlango uliowazi lazima uingie?
Hivi rice cooker inapikia wali peke ake?
Twende kazi
Sent from Quarantine
kasome Mambo za GPSAliyechora ramani ya dunia kwa mara ya kwanza yeye alikuwa wapi?
kuku ndiyo wa kwanza, akataga yai akaliatamia ndiyo ukapata kifaranga.Kati ya yai na kuku kipi kilianza...
Mtu ana utu, binadamu hana utuHiv kila kwenye tobo ni lazima uingize?
Kuku, based on imaanKati ya yai na kuku kipi kilianza...
MobileHivi M ina maanisha nini kwenye neno M-Pesa....[emoji23]