Tupia maswali fikirishi yenye kuumiza akili

Tupia maswali fikirishi yenye kuumiza akili

Hivi macho ndo yanafanya sisi tunaona au mwanga (nuru) ndo inafanya tunaona?? Maana gizani hatuoni..!
Vyte vinawezakua jibu but i think macho nd yanafanya tunaona koz hata pasipo kua na mwanga still macho hua na uwezo kiasi
 
Juma alitaka kuoa akaona si mbaya aende kwa wajomba zake wamchangie hela ili apate jiko. Maana korona hii imetoa funzo kwa wale wala kwa mama ntilie.
Sasa Juma ana wajomba 3 na akawapitia wote. Wajomba zake wote kila mmoja alimuahidi atamuongezea kiasi cha fedha kama kile atakachokipata yeye. Kwa mfano akienda kwa mjomba ake na elfu 20 basi ataongezewa kiasai kama hicho.
Juma akaenda kuchakarika akapata kiasi cha pesa akaenda kwa wajomba zake kama walivyomuahidi.
Ili kwa kila mjomba ake mmoja kuna mlinzi geteni ili uingie ndanni inabidi ulipe shilingi 2000 na wakati wa kutoka pia inabidi ulipe tena sh 2000.
Kwa mjomba 1
Kalipa 2000 getini kaingia ndani, mjomba ake akamuongeza kiasi kama alichoingia nacho ndani. Akatoka na kulipa 2000 getini ya kutokea
Mjomba w 2
Kalipa 2000 getini kaingia ndani, mjomba ake akamuongeza kiasi kama alichoingia nacho ndani. Akatoka na kulipa 2000 getini ya kutokea
Kwa mjomba 3
Kalipa 2000 getini kaingia ndani, mjomba ake akamuongeza kiasi kama alichoingia nacho ndani. Akatoka na kulipa 2000 getini ya kutokea.
Juma hakubakiwa hata na shilingi baada ya kutoka kwa mjomba wake wa 3. Je Juma alitoka na shilingi ngapi nyumbani?
5250
 
Iyo ni reflection ya maji(Bahari,maziwa na mabwawa)
Sio reflection ya maji maana kuna sehemu zingine hazina bahari wala ziwa wala mito na bado anga linaonekana la bluu, kiufupi ni refraction (kupinda) kwa mwanga kunako sababishwa na air molecules of different gases zilizopo angani na hivyo kupelekea sisi tulio duniani kuona anga la bluu lakini ki uhalisia anga halina rangi it's just perception of our senses because of light being scattered from afar and blue light is scattered more than the other colors because it travels as shorter, smaller waves. This is why we see a blue sky most of the time.
 
Hivi nini hutokea mtu anapopitiwa na usingizi?Nina maana nini humfanya apoteze hisia za duniani na. Nini humrudisha tena kutoka kwnye usingizi?

Nadhani apa ubongo unahusika kwa namna moja ama nyingine.

Sababu mtu anapokua amelala ubungo na moyo hivi hua vipo kazini mda wote. Especially kwa upande wa matendo yasiyo ya hiari.
 
Kwanini Jua Rangi yake tofauti kati ya mchana na jioni au asubuhi na Kwanini Jua wakati wa asubuhi na jioni sio kali kama Mchana ikiwa umbali wa Dunia na Jua ni ule ule????
 
Andika swali au statement yenye kufikirisha akili.

Mimi naanza:

Hivi kati ya masikio na pua kipi kinashikilia miwani?
Hivi kila mlango uliowazi lazima uingie?
Hivi rice cooker inapikia wali peke ake?

Twende kazi

Sent from Quarantine
andika neno la kiswahili ambapo ukitoa elufi take ya mwisho ni Kuna la mnyama kwa kingereza
 
Back
Top Bottom