Vyte vinawezakua jibu but i think macho nd yanafanya tunaona koz hata pasipo kua na mwanga still macho hua na uwezo kiasiHivi macho ndo yanafanya sisi tunaona au mwanga (nuru) ndo inafanya tunaona?? Maana gizani hatuoni..!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vyte vinawezakua jibu but i think macho nd yanafanya tunaona koz hata pasipo kua na mwanga still macho hua na uwezo kiasiHivi macho ndo yanafanya sisi tunaona au mwanga (nuru) ndo inafanya tunaona?? Maana gizani hatuoni..!
Kwa sababu kakake ni mtt wa makambaKwanini February ina siku pungufu ukilinganisha na miez mingine
J.MosiMwalimu alisema,'Kama jana ingekuwa kesho,basi leo ingekuwa Ijumaa'.
SWALI:Mwalimu aliongea kauli hii katika siku ipi ya wiki?
FafanuaJ.Mosi
5250Juma alitaka kuoa akaona si mbaya aende kwa wajomba zake wamchangie hela ili apate jiko. Maana korona hii imetoa funzo kwa wale wala kwa mama ntilie.
Sasa Juma ana wajomba 3 na akawapitia wote. Wajomba zake wote kila mmoja alimuahidi atamuongezea kiasi cha fedha kama kile atakachokipata yeye. Kwa mfano akienda kwa mjomba ake na elfu 20 basi ataongezewa kiasai kama hicho.
Juma akaenda kuchakarika akapata kiasi cha pesa akaenda kwa wajomba zake kama walivyomuahidi.
Ili kwa kila mjomba ake mmoja kuna mlinzi geteni ili uingie ndanni inabidi ulipe shilingi 2000 na wakati wa kutoka pia inabidi ulipe tena sh 2000.
Kwa mjomba 1
Kalipa 2000 getini kaingia ndani, mjomba ake akamuongeza kiasi kama alichoingia nacho ndani. Akatoka na kulipa 2000 getini ya kutokea
Mjomba w 2
Kalipa 2000 getini kaingia ndani, mjomba ake akamuongeza kiasi kama alichoingia nacho ndani. Akatoka na kulipa 2000 getini ya kutokea
Kwa mjomba 3
Kalipa 2000 getini kaingia ndani, mjomba ake akamuongeza kiasi kama alichoingia nacho ndani. Akatoka na kulipa 2000 getini ya kutokea.
Juma hakubakiwa hata na shilingi baada ya kutoka kwa mjomba wake wa 3. Je Juma alitoka na shilingi ngapi nyumbani?
Sio reflection ya maji maana kuna sehemu zingine hazina bahari wala ziwa wala mito na bado anga linaonekana la bluu, kiufupi ni refraction (kupinda) kwa mwanga kunako sababishwa na air molecules of different gases zilizopo angani na hivyo kupelekea sisi tulio duniani kuona anga la bluu lakini ki uhalisia anga halina rangi it's just perception of our senses because of light being scattered from afar and blue light is scattered more than the other colors because it travels as shorter, smaller waves. This is why we see a blue sky most of the time.Iyo ni reflection ya maji(Bahari,maziwa na mabwawa)
Hivi nini hutokea mtu anapopitiwa na usingizi?Nina maana nini humfanya apoteze hisia za duniani na. Nini humrudisha tena kutoka kwnye usingizi?
Mmmh Changa La Moto MzeeJ.Mosi
Niko nakuna kichwa hapa, why asbh jua sio kaliKwanini Jua Rangi yake tofauti kati ya mchana na jioni au asubuhi na Kwanini Jua wakati wa asubuhi na jioni sio kali kama Mchana ikiwa umbali wa Dunia na Jua ni ule ule????
asubh dunia I kijizungusha jua uonekana sio Kali Kwan uso was dunia uliopo wewe auja liona jua kwa ufasaha na mchana jiongezeKwanini Jua Rangi yake tofauti kati ya mchana na jioni au asubuhi na Kwanini Jua wakati wa asubuhi na jioni sio kali kama Mchana ikiwa umbali wa Dunia na Jua ni ule ule????
andika neno la kiswahili ambapo ukitoa elufi take ya mwisho ni Kuna la mnyama kwa kingerezaAndika swali au statement yenye kufikirisha akili.
Mimi naanza:
Hivi kati ya masikio na pua kipi kinashikilia miwani?
Hivi kila mlango uliowazi lazima uingie?
Hivi rice cooker inapikia wali peke ake?
Twende kazi
Sent from Quarantine
Lioneandika neno la kiswahili ambapo ukitoa elufi take ya mwisho ni Kuna la mnyama kwa kingereza
Mmm 🤔 upo vizuriLione
Zina piga kelele 😂😂😂😂😂