Tupia maswali fikirishi yenye kuumiza akili

Tupia maswali fikirishi yenye kuumiza akili

Hivi kwann watu wanahama usiku, vitu vyao vibaya,au wanaogopa macho ya watu
 
Ongezea na jambazi
Kibaka_Sio sehem zote wapo, hawa wanabeba chochote kilicho mbele yao, waoga mtaji mbio na kutishia.

Mwizi huhakikisha anafanya Mambo yake in stealth mode, akionekana Ni bahati mbaya.

Jambazi_mtaji silaha na muda,Kuua Ni sehem ya kazi yake. Popote analianzisha mchana au usiku. Ni update ya kibaka na mwizi Ila hawa hufanya yao kwa lengo na mipango,Hawabahatishi.

Nmejaribu
 
Hivi huwezi kulipia mahari kwa M-Pesa au bank mkamalizana na wakwe?
 
Hivi namba ya mwisho ni ngapi ? Je ukiongeza values nyengine haiwezi badilika ? Na kama inabadilika itakuwaje ya mwisho sasa ? Na kama haibadiliki ni kwa nini ? sasa maana hapo utakuwa umefanya addition
 
Hivi yule chunusi wa kwenye maji yupoje anaonekanaje na umbo lake lipoje?
 
Hivi macho ndo yanafanya sisi tunaona au mwanga (nuru) ndo inafanya tunaona?? Maana gizani hatuoni..!
 
Back
Top Bottom