Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usiku ni huru zaidi, pia macho ya watu ufanya usiwe comfotableHivi kwann watu wanahama usiku, vitu vyao vibaya,au wanaogopa macho ya watu
Finish ni kumalizaFinish
Complete
Kuna tofauti?
Atakuwa anaisubir weekend ngj tuvute muda atajisogeza tuHajakusikia ongeza saut
Chief "k" ni "k" tuuhivi 'K" kwenye neno "knife" ina kazi gani?
Kibaka_Sio sehem zote wapo, hawa wanabeba chochote kilicho mbele yao, waoga mtaji mbio na kutishia.Ongezea na jambazi
Jongoo haoni sababu hana macho au nuru haipo?Hivi macho ndo yanafanya sisi tunaona au mwanga (nuru) ndo inafanya tunaona?? Maana gizani hatuoni..!
Chunusi Ni myth hakuna uhalisia wowoteHivi yule chunusi wa kwenye maji yupoje anaonekanaje na umbo lake lipoje?
Finish malizaFinish
Complete
Kuna tofauti?
Mwisho wa macho yako ^_^Kwa nini anga lina rangi ya bluu ?
Angani bobHahaha kifaa kilikaa wap
Kati ya yai na kuku kipi kilianza...
Kuku bobKati ya yai na kuku kipi kilianza...
Binadamu ni watu wote na mtu ni binadamu mmoja