Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Iyo tumwachie mungu bob ipo juu ya uwezo wetuHivi nini hutokea mtu anapopitiwa na usingizi?Nina maana nini humfanya apoteze hisia za duniani na. Nini humrudisha tena kutoka kwnye usingizi?
Binaadam ni kiumbe anaetoka katika uzao wa Nabii Adam, utu ni sifa njema alizonazo binaadam, hivyo binaadam mwenye sifa ya utu (sifa njema)huitwa mtu na aliekosa utu anabaki kuwa binaadam tu
Kuna tofauti gani kati ya binadamu na mtu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi utosi kama sehem ya mwil ina kazi gn
Uchawi ni sehemu ndani ya ushirikina.Je uchawi na ushirikina kuna tofauti yoyote???
toa credit kwangu mkuuAndika swali au statement yenye kufikirisha akili.
Mimi naanza:
Hivi kati ya masikio na pua kipi kinashikilia miwani?
Hivi kila mlango uliowazi lazima uingie?
Hivi rice cooker inapikia wali peke ake?
Twende kazi
Sent from Quarantine
tofauti tofautiDifference na various kuna utofauti?
its Gods plankwa nn alama za vidole hazifanani baina ya mtu na mtu?
Kuku kwa sababu virutubisho vinavyounda ganda la yai vinapatikana ndani ya kukuWrite your reply...ivi kati ya kuku na yai kipi kili anza?
have you never heard of a story that two different bird species mate and produced an egg of a hen?Kuku kwa sababu virutubisho vinavyounda ganda la yai vinapatikana ndani ya kuku
Nohave you never heard of a story that two different bird species mate and produced an egg of a hen?
you have to find it it shows an egg to be first