Tupia member ambaye yuko banned kwa sasa

Siku neno ɓanneɗ linatumika ƙwenƴe avatar za watu kujua wako ɓanned ni ngumu

Na mie niliuliza hivyo je mtu akitumia kwenye Avatar yake Jambazi akasema eti wanakuunganisha na waliopigwa Ban sjui kama ni kweli hii kitu.
 
Hhahahaa halafu ni furushi lake kweli lile mkuu, yule Dada nilimpenda akanichomolea tukaishia kuwa marafiki tuu, nashukuruu niko nae ofisi moja nafaidi na macho tu

Dah, mkuu unafaidi aseee.
 
Unajuaje kama yupo ban
 
Unajuaje kama yupo ban

Kwenye Avatar yake kunakuwa na hilo chata.

Na pia inakuwa huwezi kuingia kwenye profile yake ukaanzisha conversation.

Na kama unatumia browser ukitaka kum-mention mtu ukianza na jina lake tu mwanzo yanakuja majina yanayofanana ila lake halitokei mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…