@mbagara jr:Kabla ya yote ingia google angalia specification zao maaana zinapishana kidogo sana kwenye camera zote zipo sawa betri 5a Ina 4680 5 Ina 4089 ila 5 Ina reverse charging 5a Haina so nenda pale zahoro matelephone yule jamaa saiv ndo vunjabei wa simu Tanzania ziangalie zote mbili then ujue unachukua ipi
Nmechukua 4a 5g
mkuu mrejesho mmepeana pm nin? na sisi twataka kujua aseeeKesho nitakuchek[emoji106]
bei wamekomalia ngap mkuuNmechukua 4a 5g
na upande wa camer vipbei wamekomalia ngap mkuu
Dah nilisahau kabisa kufatilia hili suala. Ila ameshapata atakupa muongozomkuu mrejesho mmepeana pm nin? na sisi twataka kujua aseee
Nmechukua kwa 390kbei wamekomalia ngap mkuu
Camera ipo vizurina upande wa camer vip
Safi furahia ulimwengu wa pixelNmechukua 4a 5g
Mwanang vip vifurushi siku iziFUBAR S01E02View attachment 2701672
Nmechukua 4a 5g
Kaka adimu sana vingi vya VPN hutaviweza best option ni Tigo Business......Mwanang vip vifurushi siku izi