samakinchanga
JF-Expert Member
- Aug 24, 2014
- 2,024
- 1,233
Sitaki ma movie mimiNjoo Cinemax tuangalia The Climax, Fifty Shades
Lakin sio kusema eti kazidi watu wote ebooNi mzuri bana, urembo sio kuwa na makalio makubwaa
Acha maneno weka PichaKuna wanawake wazuri tu wengi kumzidi huyo mganda,sema sio maarufu,eti malaika acha kukufuru wanaume kwa kutamani tu hapo akitokea ukamuonja zari utamuona wa kawaida tu
Hamna kitu hapa ,hamna kabisaa!!.View attachment 692392 zari akiwa umbo namba nane huyu tusemeje au we kipofu mkuuView attachment 692393
Mrembo funga kazi huyu hapa, Toto la Kiarusha.
Kama wewe mbishi tupia bint anaemzidi uzuri zari The Angel
Nishaweka mbonaAcha maneno weka Picha
Nmeziona hamna kitu bado , kwa minofu fake fake yakutengeneza fulu kuvaa mamikandaa ,kuchoma misindano ?? Hamna kitu.Nishaweka mbona
Panda gari mpaka babati,[emoji23] [emoji23] ni wapi huko niende
Huyu ana watoto wangapiView attachment 692392 zari akiwa umbo namba nane huyu tusemeje au we kipofu mkuuView attachment 692393
Hana hata mmojaHuyu ana watoto wangapi
Wewe ta.ko la sanchi original baba,,na mama yake mzazi yupo hivyo hivyo tena kamzidi sanchi kidogoNmeziona hamna kitu bado , kwa minofu fake fake yakutengeneza fulu kuvaa mamikandaa ,kuchoma misindano ?? Hamna kitu.
Basi anasifa ata nusu ya zari kwanza huyu dem ni mchaga akizaa tu sijui wachaga tatizo nn mtoto anaondoka nao woteHana hata mmoja
Kwan kila mtu lazima azae kama zari
Sawa mkuu Baba yake pia Anatako?? Mbona nmecheka !!.Wewe ta.ko la sanchi original baba,,na mama yake mzazi yupo hivyo hivyo tena kamzidi sanchi kidogo
Tupendw sie flatscreenSawa mkuu Baba yake pia Anatako?? Mbona nmecheka !!.
Ila siku izi siamin ktk mikalio maana saizi mnainunua !!
Na uzuri wa kikundi cha maombi hakuna complications kwenye usajili ukilinganishana kanisa
Nasikia Ramada Resort wana offer ya 375000 per nightSitaki ma movie mimi