Tupia picha ya binti yoyote Tanzania anaemzidi Zari kwa uzuri wa kila kitu

Tupia picha ya binti yoyote Tanzania anaemzidi Zari kwa uzuri wa kila kitu

Duh, huu sasa ni uzembe wangu binafsi, to be honest simfahamu huyu binti, hata ningekutana nae sasa hivi. Niko shallow kweli na hawa watu wa bongo sijui movie, sijui bongo music sijui aaghhhh nadhani nahitaji kujiongeza sasa
 
Hakuna star wa kibongo anae mfikia kwa uzuri na kwa bongo hakuna msanii wa kike anae mfikia zari kwa kujituma kutafuta pesa kwa njia za halali...wakati kibongo bongo wanawaza wakiwa maarufu wanawaza kupata wanaume wa kuwahonga magari majumba na pesa za kuruka kwanja
 
c69bddba25d468124bf35ee0af3b5c53.jpg
 
Nampenda sana mwanamke huyu na popote alipo sifa zangu toka moyoni zikufikie.

Nimemtafakari kwa kina sana na kujiuliza kwanini mabinti bongo wamemjengea chuki

Jibu; Zari ni mzuri hakuna anaemzidi hvyo wanabaki na donge au chuki moyon wanatamani kuwa kama yeye.

SIFA ZAKE TUANGALIE
1.Zari ana mwili laini sana
2.Umbo namba 8
3.Rangi imetulia
4.Ukihitaji mguu wa bia anao
5.Kupangilia mavazi anajua
6.Ni mama watoto 5 lakini utasema ni kigoli
7.Ana akili ya kutafuta
8.Kujipenda

Zari Mungu amekusuka kama engine hujaumbwa, wengine wanatamani kuwa kama wewe, hata kama umezaa watoto 3 lakini Diamond ameokota mgodi wa dhahabu au dodo kwenye mwarobaini.

Zari umetokea sayari ambayo wanaishi malaika tupu ni bahati mbaya ukaangukia duniani.

Binafsi wazee Zari nina sifa nyingi za kusema lakini wacha nikae kimya.

ZARI WEWE NI HABARI NYINGINE UPO DUNIANI BAHATI MBAYA ULIPASWA KUWA MALAIKA HUSTAHILI HATA VUMBI LIKUGUSE NATAMANI HATA KUWA HOUSEBOY WAKO PAMOJA NA KUWA UNDERGRADUATE ILI NIKUONE NIKIWA NAMWAGILIA BUSTANI AU KUSAFISHA NYUMBA NIPATE HATA ILE HARUFU YA PAFYUMU YA 2MILLION
ZARI WANAWAKE KWA WAUME WANAKUKUBALI MOYONI KUANZIA UG HADI TZ


zari-hassan-dangote.jpg

Kama wewe mbishi tupia bint anaemzidi uzuri zari The Angel
Watabisha kwa maneno ila moyoni wanamkubali mkuu. Zari ni mrembo anaejielewa sio hawa takataka wa tz kutwa kujidhalilisha mitandaoni
 
Tuseme basi kwa wanawawake waliozaa watoto kuanzia mmoja tuu umkompee na zari ukweli ni kwamba zari anawaacha mbali kwa kujikeep good, hajajibweteka, hajajiachia kama furushi. Kidogo mimi namkaribia mwili wake kwa watotot wa3 nilionao still nipo kama kigori😀😀
 
Nyinyi wavulana wa mikoani mnatuaibisha sana, huyo ni mama wa watoto saba nafikiri, ni mwanamke wa kawaida sana, sisi huku mjini ata wafanya usafi wa kwenye majengo yetu ni wazuri mara mia mbili ya huyo mama. Njoo mjini, ukae kituo cha mabasi cha posta mpya kuanzia asubuhi mpaka jioni alafu utajuta kwanini unaishi huko vijijini ambako wanawake wenu wamechukua sura za babu zao.
Wanawake wa vijijin si ndo wamehamia mjini bas tu ile kujisoup soup mnawaona wazur

Ata sis wa kijjin tukija huko mbona tunakua warembo tu ata zaidi
 
c513a7013defd1169fe75eee0c381d86.jpg


Cynthia masasi ...yuko wapi siku hizi

57e13957e5ae1922e6b7a144a8c9ea03.jpg



37d4a4213d40ae22f9b19904ab8380d5.jpg


Warda warid...
 
Back
Top Bottom