Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee sio wa huko kaskazini dada?? Najuaga wee ni wa huko pia.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mwenyewe nasubiria zamu yetu ifikiwe.
Mmmmh tena mkoani kwetuu ndo kabisaaa, hadi Aibu viongozi wako kula pesa, hata hakueleweki.Nyie kusini je?
Wapi huku mkuuAnother one View attachment 2301209
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee sio wa huko kaskazini dada?? Najuaga wee ni wa huko pia.
[emoji23][emoji23] Ruvuma eeeh! Ila kuna sehemu nzuri pia,,zipostMmmmh tena mkoani kwetuu ndo kabisaaa, hadi Aibu viongozi wako kula pesa, hata hakueleweki.
Tunaita hair-pin bend?
Hata huku zitaisha mkuu naona sasa tunazaana sana Kwa kuingiliana kabila fulan na kbla fulan , ndo chanzo kikubwa cha kuwa wamojaWachaga nawakubari sana ile tamaduni ya kurudi december na kujenga nyumbani mpo vizuri sana, hizi tamaduni hata sisi wanyakyusa tulikuwa nazo ila sijui imekuwaje??!!sasa hivi!?
Hapa panatakiwa traffic police masaa 24!Iringa hyoView attachment 2301185