Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lakn lengo hapa ni kuweka picha za mkoa uliopo na lengo sio kuringishia kila mtu anajua tuko kwenye nchi dunia ya tatuHizi picha zisiwapumbaze ambao hawajafika mkoa wa Kilimanjaro. Wilaya ya Hai na Siha na Same ni balaa tupu.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wewe wilaya ya same umefika maeneo gani kwanza?
Nia sio majengo mkuu , tatzo unapga picha majengo yanajileta yenywe tu ingekua ni majengo ningepiga kwangu .Wakuu leteni picha za majengo hayo huko Kilimanjaro nimeyapenda sana. Watu waache ujinga kuonyesha majengo ya mahali sio ukabila.
Ukiambiwa ukaishi Same kwanza inabidi UTOKWE na MACHOZI.Hizi picha zisiwapumbaze ambao hawajafika mkoa wa Kilimanjaro. Wilaya ya Hai na Siha na Same ni balaa tupu.
Nyinyi Wachagga takataka kabisa, hacheni NepotismMazingira uchagani , tupia picha ya mazingra mkoani kwako tufanye utalii wa ndaniView attachment 2300092View attachment 2300093View attachment 2300095View attachment 2300096View attachment 2300097View attachment 2300098View attachment 2300099View attachment 2300101View attachment 2300100View attachment 2300102
🤣🤣[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nimesubscribe
Sikuanzisha uzi huu Kwa nia hiyo mkuu , mbona tukiposti sehemu wanazopika pombe chafu uchagani hausemi hvyo mkuu. Kosa langu mimi ni kupenda mazingira au? Nimekuruhusu nitukane Tusi lolote mkuu roho yako iridhike.Wachagga kwanza nyinyi Nepotism imewaharibu, pili nyinyi ni washamba kuliko makabila yote Tanzania, yaani kila siku kuanzisha mathread ya upupu tu humu, mnatafuta kiki zisizo na maana hacheni ushamba, tofauti na mlima Kilimanjaro hamna kingine cha kutalii huko kwa wanywa mbenge
Hacheni Nepotism mataka taka nyie
Hili Kanisa lile la Kibosho?Unaweza tumia kwenye screen ya Simu yako[emoji847]View attachment 2301136
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Acha uchokozi
Hupajui same wewe kuna maeneo Kwa ukijani ata moshi rombo na hai zinasubiri, maeneo ya chini yote yana hali tofauti na juu , nafikir wachaga eneo lolote ata paris kama halina miti na migomba wanaita poriniUkiambiwa ukaishi Same kwanza inabidi UTOKWE na MACHOZI.
Hakuna Wilaya Mbovuuu ndani ya Kilimanjaro kama Same.
In short, Kilimanjaro Ni Moshi tu.
Huko kwingine OGOPA Kama KIFUTU.