Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo baridi mi sipendi baridi, nitapata ngiriKuna Mwalimu hapa anatafuta mtu wa kubadilishana kituo Cha kazi, wewe uje Kilimanjaro.
Ni pazuri kinomaaa
[emoji23][emoji23]boss hapa umedanganya ,ukitoaa wasukuma na wamasai eti Chagas ndo namba tatu.Wachaga ni kabila tatu Kwa idadi ya watu tz ukitoa wasukuma na wamasai! Ulitegemea uchagani patoshe Kwa idadi hyo ya watu? Kuna maeneo huko uchagani ata sehemu ya kujenga hakuna! Ndo maana wanatoka kutafuta maeneo mengne, tanzania ni yetu sote mbona kuna watu kutoka kusuni wengi wamenunua maeneo uchagan , na wabafurahia mbege tu kma wenyeji?
Mkuu, nimeshindwa kuvumilia. You have revealed the high standards of maturity, nalazimika kusema HONGERA SANA. Hakika wewe umekomaa kifikra na kiakili kwa ujumla.Mbona mimi sifanyi hivyo ?
Mkuu umechafukwa!Mwambie atuwekee picha za Moshi mjini
Aweke picha zote ikiwemo stendi ya Moshi mjini na njia panda ya Himo
Yaani iachwe kujengewa Tabata ijengewe Moshi? Una akili kweli wewe? Iache kujengewa Masasi ijengewe Moshi? Are you serious?[emoji3]kwanini moshi isijengewe mnara palee ikuluu?? jamani inastahili sanaa
Thibitisha kwa hoja zenye nguvu.ukichukia wachaga unajitafutia laana. wachaga ni taifa teuleee.
Ni kweliKilimanjaro ni pazuri kwakweli....
[emoji23][emoji23] sidhani kama atakubaliKuna Mwalimu hapa anatafuta mtu wa kubadilishana kituo Cha kazi, wewe uje Kilimanjaro.
Ni pazuri kinomaaa
Baridi Kali Ni muda mfupi tu.Tatizo baridi mi sipendi baridi, nitapata ngiri
Hakuna mifumo ya Ubepari ya VIARANO na Pombe za UKOO.Mm najua wew unaogopa mifumo ya kibepari ya huko uchagan, ila kma kweli umezoea kuishi kijamaa uchagani utapachukia tu.
Hata mchagga mwenyewe akiambiwa Rudi kwao, Bora umnyonge
Mbona kuna wengi tu wanakaa na wanaendelea, nikupe siri hii ukifanya biashara uchagani kama wewe sio mchga unafanikiwa sana , coz wachawi uchwara na wezi wa huko wanaogopa sna mtu wa kuja, coz uchagani hamna walozi ambao wapo serious na Kaz yao.