Tupia picha ya mkoani kwako tufanye utalii wa ndani

Tupia picha ya mkoani kwako tufanye utalii wa ndani

Mkuu haya majitu Yana KELELE kinoma ila tangu nimekuja huku nikagundua hamna kitu, nayanyoosha kweli.
Pata hizo picha wewe hater
DSC_4916-640x430.jpg
DSC_4913-640x430.jpg
DSC_4912-640x430.jpg
 
Unajua wameru na wachaga wakiamua kumwaga maziwa kutoka milimani ni maporoko ya hatarii na inaweza kusomba makabila yote mavamizi huko chini?
Sasa kwa nini wasimwage? Hivi kuna watu wanajivunia maziwa karne hii[emoji23][emoji23] nani hayatumii maziwa sasa?

Sent from my A50s using JamiiForums mobile app
 
Mji wa Israel ya zamani hii.sijui hata Dar wanakuja kutafuta nini.
Dar ni kama maji, usipoyaoga utachambia. Dar ndiyo kwa wajanja, huwezi ifananisha Dar na KLM, so wanakuja kutafuta chakula na huduma bora, KLM njaa njaa tu hakuna chochote. Ukiwa huna hela hata mbwa wako atakukimbia au kukumbwekea. [emoji23][emoji23] sorry lakini

Sent from my A50s using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom