Tupia picha ya mkoani kwako tufanye utalii wa ndani

Tupia picha ya mkoani kwako tufanye utalii wa ndani

Hakuna mandhari nzuri uchaggani. Mkoa umejaa TOPE, MIINUKO, MQBONDE na VUMBI JEKUNDUUU.

Ni maeneo machache sana Yana unyevu na baridi unaofanya majani kuwa kijani nyakati fulani za mwaka.
Hapa ndiyo nimeona Chuki kwa macho, yaani unataman uchagani kunge geuka jehanam, ila Mungu si baba yako.
 
Hapa ndiyo nimeona Chuki kwa macho, yaani unataman uchagani kunge geuka jehanam, ila Mungu si baba yako.
Tatizo kubwa mnaazisha maada ili msifiwe. Mkichanwa ukweli mnaanza kusema Chuki.

Huko uchaggani nimezurula Kitongoji mpaka nyumba kwa nyumba.

Kwahiyo lazima ukweli mchungu usemwe.

Kwanza rudini kwenu.
 

Attachments

  • VID_20220314_141847.mp4
    65.5 MB
Na wewe uki ambiwa urudi kwenu utakuwa tayari kutelekeza hicho kijumba chako hapo kwa mtogole? Na kijiwe chako cha kushonea viatu utamuachia nani?
Tatizo kubwa mnaazisha maada ili msifiwe. Mkichanwa ukweli mnaanza kusema Chuki.

Huko uchaggani nimezurula Kitongoji mpaka nyumba kwa nyumba.

Kwahiyo lazima ukweli mchungu usemwe.

Kwanza rudini kwenu.
 
Na wewe uki ambiwa urudi kwenu utakuwa tayari kutelekeza hicho kijumba chako hapo kwa mtogole? Na kijiwe chako cha kushonea viatu utamuachia nani?
Hakuna mtu wa kuja huku Kilimanjaro anayepapenda huku. Yaani watu wapo tu kibishi.

Hata Watumishi wakiruhusiwa kuhaama huku WANAISHA.
 
Basi hizo picha nilizoweka tufanye ni uganda weka za kwako mkuu tufanye utalii sku moja.
 
Hakuna mtu wa kuja huku Kilimanjaro anayepapenda huku. Yaani watu wapo tu kibishi.

Hata Watumishi wakiruhusiwa kuhaama huku WANAISHA.
Usisemee nafsi za watu kwako ni wap Kwan?
 
Hakuna mtu wa kuja huku Kilimanjaro anayepapenda huku. Yaani watu wapo tu kibishi.

Hata Watumishi wakiruhusiwa kuhaama huku WANAISHA.
Mbona hayo hayo mazingra mkuu watu wanang'oa mpka mademu wakifaransa na kuwaoa kbsa?
 
Kilimanjaro especially wilaya ya Moshi ni one among the best to hang around especially ukiwa likizo na una kibunda chako.

Pazuri sana. Na wenyeji wake ni wakarimu ukiwa mstaarabu. Na very friendly ukiwa mtu wa kujiongeza unapokuwa nao.

Si kweli kuwa wanaendekeza kupenda pesa hiyo ni tabia ta kupakazia. Me nimekaa nao. Ni miongoni mwa jamii zenye maadili mazuri tu.

Nakumbuka tulikwenda milimani kule tulikaribishwa nyama ya mbuzi, mbege, pilau matunda. Na tulipoondoka walitufungia ya kwenda nayo. Ni kijijini kwa rafiki yangu anaitwa Mushi. Walitukirimu vizuri sana hadi nikajihisi pengine me ni mzungu halafu sijui.

Ukitoa kakitu kidogo utaheshimishwa hadi basi. Nakumbuka tulienda kwenye hafla ya kukomboa mtoto ya mwenzetu. Alipotimiza masharti tukapokelewa kwa tafrija. So tulikwenda na zawadi na kutatoa pesa ya vinywaji na chakula. Walituchangamkia sana. Wadada wakawa wanatuhudumia utadhani tumetoka ukoo wa ufalme.
Mangi acha kujitekenya mwenyew...

Ukweli usemwe watu wengi wa huko hawana roho za kibinadamu wa kawaida...ule utu wa kawaida hamna kabisa japo sio wote...


Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Mangi acha kujitekenya mwenyew...

Ukweli usemwe watu wengi wa huko hawana roho za kibinadamu wa kawaida...ule utu wa kawaida hamna kabisa japo sio wote...


Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
SWa mhaya ila mimi na demu mnyambo wa karagwe nipo nae huku vijijini na marafiki wa kihaya wengi sana wakija kunitembelea wanKiri walituchukulia vibaya mwanzoni , japo sasa vjna wa ovyo wapo wengi.
 
Mbona naona wewe ndio mkabila au ni wivu?

Yaani watu wasicelebrate kwao sababu wanakuogopa wewe?

Why suppressing them?Why all this scaring?
Mkabila unajua kabila langu Happ kataja uchagani kama uelewe sio kingereza kingi kichwani hujui hata kutengeneza njiti ya kibiriti
Kilimanjaro hamna wapare mpaka aseme uchaganj
 
Mkabila unajua kabila langu Happ kataja uchagani kama uelewe sio kingereza kingi kichwani hujui hata kutengeneza njiti ya kibiriti
Kilimanjaro hamna wapare mpaka aseme uchaganj
Uchagani ni tofauti na Upareni...

Kama anaongelea Uchagani unataka aongelee Upareni?

Mbona wivu mkali hivi?

Kwanini usiongelee Upareni wewe?Hii bitterness itakuua mpumbavu wewe

Weak tribes always cry faul on stupid things....

Umejaa makasiriko sana aisee.....

Mtu anataka kuongelea alipoenda na kuweka picha,wewe upo butt hurt to death.....what the fvck?

Mkabila ni wewe unaezuia watu wasiongelee maeneo yao unataka waongelee maeneo ya wengine
 
Back
Top Bottom