Wyatt Mathewson
JF-Expert Member
- Dec 22, 2017
- 10,432
- 25,124
Yaani watu wana makasiriko sana aiseeeHili ni jukwa huru watu wa makabila mengine hawajakatazwa sababu mtoa Uzi hajaponda kabila lingine lolote like hata wewe una uhuru wa kupasifa kwenu
Why not enjoy habari za sehem mbali mbali ndani ya nchi yako?
Uchagani ni part of it....sasa mtu anaweka picha kuonesha eneo watu wanapaniki na makasiriko ajabu yaani
Ni kama mtu aende labda huko Mbullu aweke picha za maeneo hayo na jinsi palivyo na kuinjoi the places...still some stupid motherfvckers wataanza kulia lia..
Makasiriko haya...basi uzi ufutwe ziwekwe picha za Ulaya basi au za Kenya..fvck these ppl!