Tupia picha ya mkoani kwako tufanye utalii wa ndani

Tupia picha ya mkoani kwako tufanye utalii wa ndani

Hili ni jukwa huru watu wa makabila mengine hawajakatazwa sababu mtoa Uzi hajaponda kabila lingine lolote like hata wewe una uhuru wa kupasifa kwenu
Yaani watu wana makasiriko sana aiseee

Why not enjoy habari za sehem mbali mbali ndani ya nchi yako?

Uchagani ni part of it....sasa mtu anaweka picha kuonesha eneo watu wanapaniki na makasiriko ajabu yaani

Ni kama mtu aende labda huko Mbullu aweke picha za maeneo hayo na jinsi palivyo na kuinjoi the places...still some stupid motherfvckers wataanza kulia lia..

Makasiriko haya...basi uzi ufutwe ziwekwe picha za Ulaya basi au za Kenya..fvck these ppl!
 
Wachaga na wahaya huwa wanajionaga unique sana kama Tanzanite! Ndio maana waliisoma namba! Saivi wanaanza kuibuka kidogo kidogo.
Mbona una wivu hivi?

Hajatukanwa mtu,hajasemwa mtu...ni mtu kaonesha picha ya maeneo aliyopitia then unatoa makasiriko yote haya?

It shows how miserable you are on your side aisee
 
Hakuna mandhari nzuri uchaggani. Mkoa umejaa TOPE, MIINUKO, MQBONDE na VUMBI JEKUNDUUU.

Ni maeneo machache sana Yana unyevu na baridi unaofanya majani kuwa kijani nyakati fulani za mwaka.
Nitajie mkoa ambao hauna vumbi kipindi cha kiangazi hapa Tanzania
 
Nitajie mkoa ambao hauna vumbi hapa Tanzania
Nikisema Vumbi simaanishi mchanga.

Unalijua Vumbi la Kigoma ?

Vumbi Kama Hilo ndilo liko baadhi ya maeneo uchaggani halafu, linapulizwa na UPEPO muda wote mpaka macho yanakuwa Kama albino
 
Nikisema Vumbi simaanishi mchanga.

Unalijua Vumbi la Kigoma ?

Vumbi Kama Hilo ndilo liko baadhi ya maeneo uchaggani halafu, linapulizwa na UPEPO muda wote mpaka macho yanakuwa Kama albino
Mkuu mim Niko dar na Kuna vumbi, nenda dodoma, singida, uone lile vumbi lake, nenda mbeya au iringa uone lile vumbi lilopo kule in short Tanzania nzima Ina vumbi kipindi Cha kiangazi
 
Mkuu mim Niko dar na Kuna vumbi, nenda dodoma, singida, uone lile vumbi lake, nenda mbeya au iringa uone lile vumbi lilopo kule in short Tanzania nzima Ina vumbi kipindi Cha kiangazi
Haya rudini kwenu Kama kila sehemu Kuna Vumbi.

1658558445070.png
 
Uchagani ni tofauti na Upareni...

Kama anaongelea Uchagani unataka aongelee Upareni?

Mbona wivu mkali hivi?

Kwanini usiongelee Upareni wewe?Hii bitterness itakuua mpumbavu wewe

Weak tribes always cry faul on stupid things....

Umejaa makasiriko sana aisee.....

Mtu anataka kuongelea alipoenda na kuweka picha,wewe upo butt hurt to death.....what the fvck?

Mkabila ni wewe unaezuia watu wasiongelee maeneo yao unataka waongelee maeneo ya wengine
Mimi mtoto wa mjini niwaonee wivu wakati nawaonea huruma porini mtakuja kung'atwa na nyoka na izo ndizi kama ngedere

Nasoma ujinga wako nikipa floor ya tatu naangalia upande wa bahari sio ujinga wenu huko
 
Umenikumbusha leo asubuhi...nimepanda panda bajaji ya mchaga mmoja na tukakubaliana bei kuwa ni 2000 kabisa...tena kulikuwa na bajaji nyingine wananigombania..

Kuja kushuka mwendo hata km 2 hazifiki kapandisha nauli na kusema 5000...kidogo tuzichape lakin baadae nikamuacha tu tena nikampa 10000..sijui anajisikiaje mpaka sasa kwa aibu akiniona...

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Huyo jamaa ni fala sana, umefanya vizuri. Kenge wa namna hiyo ndiyo dawa yao.
 
Mchagga kwenye kudhulumu Hana aibu kabisa. Tena ukiwa mnyongr atakuendesha kinoma.

Mchagga hata kuchimba kaburi la Ndugu yake mpaka alipwe pesa au apewe Pombe, ndio utegemee akuchukulie fair wewe Chasaka
Chasaka ni nani?
 
Wakuu leteni picha za majengo hayo huko Kilimanjaro nimeyapenda sana. Watu waache ujinga kuonyesha majengo ya mahali sio ukabila.
 
Back
Top Bottom