Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu kukaa huko mashati usijione unajua kila kituMtu ambaye Ni wa KUJA. Wanaweza kukuita CHASAKA au MPORI yaani mtu wa PORINI.
Yaani siyo mchagga.
Ila pia hata wao kwa wao wanabaguana, sometimes wanaitana hivyo. Mchagga wa Rombo anamuita MPORI mchagga wa MWIKA, URU, MACHAME na vice versa.
Kama ccmKijaniii kwa kwelii
Ongeza picha tujifunze, kuna mambo mengi sana ya kujifunza kutoka KilimanjaroNmeogopa hayo makasiriko mkuu , sikutegemea uzi ungekuwa wakishindni na ukabila mkuu .
Ni uchagani ila wewe sijui uli fanyiwa nini huko , unachuki sana kiongozi , pia huko mashati ulipo mbona kuna watu wazur sna tu na wenye mwamko wa maendeleo mno , japo pia wa ovyo wapo kila mahali dunian.Kwahiyo Mashati siyo uchaggani?
Au ni makasiriko ya ongezo dogo la mshahara babuu?Ni uchagani ila wewe sijui uli fanyiwa nini huko , unachuki sana kiongozi , pia huko mashati ulipo mbona kuna watu wazur sna tu na wenye mwamko wa maendeleo mno , japo pia wa ovyo wapo kila mahali dunian.
Nimeishi uchaggani sehemu nyingi kuanzia Machame, Uru, Moshi, Uchira, Usseri, Nanjara mpaka Rongai huko.Ni uchagani ila wewe sijui uli fanyiwa nini huko , unachuki sana kiongozi , pia huko mashati ulipo mbona kuna watu wazur sna tu na wenye mwamko wa maendeleo mno , japo pia wa ovyo wapo kila mahali dunian.
Wee jamaa huwa una chuki sana na watu wa Kaskazini.Umenikumbusha leo asubuhi...nimepanda panda bajaji ya mchaga mmoja na tukakubaliana bei kuwa ni 2000 kabisa...tena kulikuwa na bajaji nyingine wananigombania..
Kuja kushuka mwendo hata km 2 hazifiki kapandisha nauli na kusema 5000...kidogo tuzichape lakin baadae nikamuacha tu tena nikampa 10000..sijui anajisikiaje mpaka sasa kwa aibu akiniona...
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Uchaggani hapafai na ndio maana hata wenyeji wenyewe wanaongoza kupakimbia.Ukagundua nini?
Wachaga ni kabila tatu Kwa idadi ya watu tz ukitoa wasukuma na wamasai! Ulitegemea uchagani patoshe Kwa idadi hyo ya watu? Kuna maeneo huko uchagani ata sehemu ya kujenga hakuna! Ndo maana wanatoka kutafuta maeneo mengne, tanzania ni yetu sote mbona kuna watu kutoka kusuni wengi wamenunua maeneo uchagan , na wabafurahia mbege tu kma wenyeji?Uchaggani hapafai na ndio maana hata wenyeji wenyewe wanaongoza kupakimbia.
Mchagga anambagua hata mchagga mwenzake, kwahiyo usitegemee awe mwema kwako ambaye ni Chasaka.
Wachagga wanaishi kwa Janja Janja sana kiasi kwamba HAKUNA MSAFI, ikitokea amefikishwa kwa pilato.
Hakuna anaheshimika Kama Hana pesa hata awe mzazi.
Wachaga ni kabila tatu Kwa idadi ya watu tz ukitoa wasukuma na wamasai! Ulitegemea uchagani patoshe Kwa idadi hyo ya watu? Kuna maeneo huko uchagani ata sehemu ya kujenga hakuna! Ndo maana wanatoka kutafuta maeneo mengne, tanzania ni yetu sote mbona kuna watu kutoka kusuni wengi wamenunua maeneo uchagan , na wabafurahia mbege tu kma wenyeji?
Cha ajabu marafiki zangu wengi ni wachaga tena wengine wako hapo jf..Wee jamaa huwa una chuki sana na watu wa Kaskazini.
Good watanzania tunajitahidi Kwa kwelCha ajabu marafiki zangu wengi ni wachaga tena wengine wako hapo jf..
Sasa mimi niwachukie kwa lipi..
Anyway karibu mtukula wilaya ya misenyi kageraView attachment 2301045