kibori nangai
JF-Expert Member
- Jan 14, 2015
- 1,430
- 2,130
Tell themWee Nyau check hapo chini. And am telling you the truth one day Kilimanjaro and Arusha will merge and seek a referendumView attachment 2300165View attachment 2300166
Pata hizo picha wewe haterMkuu haya majitu Yana KELELE kinoma ila tangu nimekuja huku nikagundua hamna kitu, nayanyoosha kweli.
Wewe ni mmoja ya hao wajinga.Hatukimbii ndugu tunatoka kwenda kutafuta kwenye wajinga wengi (wajinga ni fursa) ili kuja kupaendeleza kwetu.
Pole bwashee.
Huo upuuzi utatokea kote/mtaufanya kote ILA SIYO Tanzania. Jaribuni tuwavunje hiyo miguu na makagali hayo.Wee Nyau check hapo chini. And am telling you the truth one day Kilimanjaro and Arusha will merge and seek a referendumView attachment 2300165View attachment 2300166
Sasa kwa nini wasimwage? Hivi kuna watu wanajivunia maziwa karne hii[emoji23][emoji23] nani hayatumii maziwa sasa?Unajua wameru na wachaga wakiamua kumwaga maziwa kutoka milimani ni maporoko ya hatarii na inaweza kusomba makabila yote mavamizi huko chini?
Elimu mbovu halafu mpewe nchi kweli?[emoji23][emoji23][emoji23] 'ulizi' ni kitu ganiTell them
Please speak louder for everyone
Unahitaji ulizi na lisanamu lijengwe pale KIA au mwika au USA au Ngaramtoni
Hicho Ni Nini π€£π€£
Mji wa Israel ya zamani hii.sijui hata Dar wanakuja kutafuta nini.Mazingira uchagani , tupia picha ya mazingra mkoani kwako tufanye utalii wa ndaniView attachment 2300092View attachment 2300093View attachment 2300095View attachment 2300096View attachment 2300097View attachment 2300098View attachment 2300099View attachment 2300101View attachment 2300100View attachment 2300102
Ndo nn sasa watoto wa mjini na porini wapi kwa wapi niishi huko nimekuwa nyoka nnAcha kulia Lia wewee cheki zingine hapo chini. Nyauww.View attachment 2300175View attachment 2300176
Beautiful landWee Nyau check hapo chini. And am telling you the truth one day Kilimanjaro and Arusha will merge and seek a referendumView attachment 2300165View attachment 2300166
WeweElimu mbovu halafu mpewe nchi kweli?[emoji23][emoji23][emoji23] 'ulizi' ni kitu gani
Sent from my A50s using JamiiForums mobile app
Weee ni mchovu kabisaaTell them
Please speak louder for everyone
Unahitaji ulizi na lisanamu lijengwe pale KIA au mwika au USA au Ngaramtoni
Hawa jamaa wamekukosea nini ? Mbona povu jingi?Mshaanza ujinga na ushamba kumepauka ujinga tupu
Ukabila acheni pambana na Maisha yenu bakini huko huko mtapeliane vizuri
Safiiii kwetu..myoyambendi ππ
Dar ni kama maji, usipoyaoga utachambia. Dar ndiyo kwa wajanja, huwezi ifananisha Dar na KLM, so wanakuja kutafuta chakula na huduma bora, KLM njaa njaa tu hakuna chochote. Ukiwa huna hela hata mbwa wako atakukimbia au kukumbwekea. [emoji23][emoji23] sorry lakiniMji wa Israel ya zamani hii.sijui hata Dar wanakuja kutafuta nini.