Tupia picha ya mkoani kwako tufanye utalii wa ndani

Tupia picha ya mkoani kwako tufanye utalii wa ndani

Hakuna mifumo ya Ubepari ya VIARANO na Pombe za UKOO.

Huku Hakuna huo Ubepari, kilichopo Ni roho za UBINAFSI ULIOOTA MIZIZI,, CHUKI na TAMAA KALIIIIIII ya MALI.
Hahahaha hizo ni tamaduni za wachaga wa rombo hata sisi wengne tunazitamani zirudi mkuu zina hamasisha umoja na mshikamano sna, kati ya sehemu wanaendeleza utamaduni uliotukuka wakichaga ni rombo , viarano na pombe za ukoo ni jambo zuri mno.
 
Mbona kuna wengi tu wanakaa na wanaendelea, nikupe siri hii ukifanya biashara uchagani kama wewe sio mchga unafanikiwa sana , coz wachawi uchwara na wezi wa huko wanaogopa sna mtu wa kuja, coz uchagani hamna walozi ambao wapo serious na Kaz yao.
Acha uongo.

Uchaggani ukiona mtu amefanikiwa kwa kufanya biashara huku, Kuna Mambo matatu:

- Ameanza biashara zamani sana na ana wateja waaminifu

- Ana mtaji mkubwa sana na hivyo ana bidhaa nyingi kiasi kwamba HAEPUKIKI lazima uende kwake ( hapa pia Watumishi wastaafu ndio huwa wanawekeza )

- Biashara za magendo kutoka Kenya ( hapa Kama wewe ni CHASAKA usithubutu kufanya, maana utauzwa ndani ya miezi 2 tu utakamatwa )

Na biashara zinazotoka sana Kilimanjaro Ni Pombe na tayari Zina magwiji wa hizo kazi na almost kila Mfanyabiashara anauza.

Usije Kilimanjaro unategemea utafanya Biashara, Hakuna KITU huku.
 
Acha uongo.

Uchaggani ukiona mtu amefanikiwa kwa kufanya biashara huku, Kuna Mambo matatu:

- Ameanza biashara zamani sana na ana wateja waaminifu

- Ana mtaji mkubwa sana na hivyo ana bidhaa nyingi kiasi kwamba HAEPUKIKI lazima uende kwake ( hapa pia Watumishi wastaafu ndio huwa wanawekeza )

- Biashara za magendo kutoka Kenya ( hapa Kama wewe ni CHASAKA usithubutu kufanya, maana utauzwa ndani ya miezi 2 tu utakamatwa )

Na biashara zinazotoka sana Kilimanjaro Ni Pombe na tayari Zina magwiji wa hizo kazi na almost kila Mfanyabiashara anauza.

Usije Kilimanjaro unategemea utafanya Biashara, Hakuna KITU huku.
Unaongelea mpkani Kwan uchagani ni mpkani tu ? Unasema pombe Kwan hamna wachaga wasiokunywa?
 
Unaongelea mpkani Kwan uchagani ni mpkani tu ? Unasema pombe Kwan hamna wachaga wasiokunywa?
Siyo lazima uishi Mpakani ndio ufaidike na mpaka.

Kwanza Kilimanjaro imezungukwa na Mipaka kuanzia Tarakea, Holili kwahiyo kote huko Hakuna umbali wowote.
 
Kuna Mwalimu hapa anatafuta mtu wa kubadilishana kituo Cha kazi, wewe uje Kilimanjaro.

Ni pazuri kinomaaa
... chief; mbona huu uzi kama umekukera sana? Bila comment yoyote, nimefuatilia toka post ya kwanza hadi hapa, baada ya mleta mada wewe unaongoza kwa post nyingi ndani ya huu uzi and unfortunately very negatively!

Hakuna post yoyote ndani ya huu uzi uliyoisemea in any +ve way; mbona una chuki mbaya hivyo ndugu. Kuna shida gani na wewe ku-post picha za sehemu yoyote uipendayo? Nakuona ukiwa na chuki mbaya sana Mkuu; badilika.
 
Umenikumbusha leo asubuhi...nimepanda panda bajaji ya mchaga mmoja na tukakubaliana bei kuwa ni 2000 kabisa...tena kulikuwa na bajaji nyingine wananigombania..

Kuja kushuka mwendo hata km 2 hazifiki kapandisha nauli na kusema 5000...kidogo tuzichape lakin baadae nikamuacha tu tena nikampa 10000..sijui anajisikiaje mpaka sasa kwa aibu akiniona...

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
[emoji846][emoji846][emoji846][emoji846][emoji846]
 
Kwan ttz liko wapi weka ss hizo picha za vumbi mpaka macho yanakuwa kama ya albino ndio utalii wenyewe huo tunataka tuuone [emoji3][emoji3][emoji3]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ruvuma kuna sehemu gan nzuri?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Usinichekeshe mie. Makao makuu ya mkoa utasema tarafa fulani hivi.
Nyie Songea kuna mambo yanaliza mno.
Ila watu [emoji3][emoji3][emoji3]
 
Mtu ambaye Ni wa KUJA. Wanaweza kukuita CHASAKA au MPORI yaani mtu wa PORINI.

Yaani siyo mchagga.

Ila pia hata wao kwa wao wanabaguana, sometimes wanaitana hivyo. Mchagga wa Rombo anamuita MPORI mchagga wa MWIKA, URU, MACHAME na vice versa.
Nyie mbona mnatuta wabara hatulalamiki halafu ni mchaga yupi aliekuja kulalamika kwako kwamba anabaguliwa.
Najua tatizo lenu na wachaga ni kutaka waishi nanyi kijamaa kama mnavyoishi ninyi na kulea umaskini miongoni mwenu
 
Kuna Mwalimu hapa anatafuta mtu wa kubadilishana kituo Cha kazi, wewe uje Kilimanjaro.

Ni pazuri kinomaaa
hahahahaha Ticha makasiriko yote tangia Ijumaa mpaka Jumapili kumbe ni nyongeza ya mshahara? Kule safu ya juu hakuna kiongozi mchagga mwalimu.. Hasira zako peleka kunakostahili
 
Back
Top Bottom