Tupia top 4 yako EPL 2019/2020

Watu wote mnaoiweka arsenal kwenye top4 nawashangaa sana
Hata Mimi nashangaa hii arsenal fainal inapigwa goal 4 na Chelsea utazani ni ligi ndo I we top 4 fainal unapigwa goal 1 au 2 kujitaidi Sana goali 3 lakini wao wanapigwa 4.siku zote arsenal ni timu ya homa ya vipindi.
 
Manchester United itakuja kasi sana, na itakusanya points 25 katika mechi zake 10 za mwanzo
 
Nimesoma post zote, Liverpool imwekwa top 4 kasoro ng'ombe mmoja tu ndo ameitoa. Kwa hesabu za probability Liverpool ndo bingwa. Therefore :

Liverpool
Man city
Chelsea
Tottenham
 
Aman iwe nanyi wakuu

Kulingana na usajili ulivyo msimu huu natabili hii ndo top four yangu msimu huu

Man city
Chelsea
Liverpool
Everton

LONDON BOY
mmmhh Everton ??
 
Man City Na Liverpool Watakuwemo. Ila Nafasi Ya 3,4
Ntasema Dirisha Likifungwa La Usajili.
 
Arsenal. Man City. Liverpool. Man United
Yoyote kati ya hizi atakuwa bingwa
 
1. Man city
2. Liverpool
3. Arsenal
4. Tottenham
5. Chelsea
6. Man Utd
7. Everton
8. Leicester City
9. West ham
10. Wolverhampton
 
Chelsea huwa wanatutoa kabisa ktk top four zao miaka yote,ila huwa tunawaumbua na prediction zao,na huwa haipiti miaka mitatu bila kubeba epl, anyway prediction yangu ni Man City au Chelsea mmojawapo atakuwa bingwa,hao wawili ni Liverpool na Tottenham,man utd na Arsenal bado mtaendelea kutusubiri
 
Chelsea
Liverpool
Manchester city
Manchester utd.

Chama langu tunainua makwapa msimu huu hamtoamini.
Chelsea huwa hawatupi nafasi lakini kawaida yetu haipiti miaka mitatu bila kubeba epl,na wanajifanya hawajui hili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…