1. Man City
2. Liverpool
3. Arsenal
4. Man Utd
Frank Lampard atakuwa kocha wa kwanza kwa timu kubwa kutimuliwa.
Mzee baba vipi umeshalewa? unaitaja Everton kwenye top 4??Man City, liverpool,Tottenham.watakamata nafasi tatu za mwanzo. nafasi ya 4 waliobakia watatoana jasho.Aman iwe nanyi wakuu
Kulingana na usajili ulivyo msimu huu natabili hii ndo top four yangu msimu huu
Man city
Chelsea
Liverpool
Everton
LONDON BOY
Nakuunga mkono!1. MANCHESTER CITY
2. MANCHESTER UNITED
3. LIVERPOOL
4. CHELSEA
5. ARSENAL
6. TOTTENHAM
7. WOLVES
8. EVERTON
hahahaha arsenal mpka sasa anaongoza ligi na bado haijaanza.arsenal
man u
Liverpool
man city
Chelsea huwa wanatutoa kabisa ktk top four zao miaka yote,ila huwa tunawaumbua na prediction zao,na huwa haipiti miaka mitatu bila kubeba epl, anyway prediction yangu ni Man City au Chelsea mmojawapo atakuwa bingwa,hao wawili ni Liverpool na Tottenham,man utd na Arsenal bado mtaendelea kutusubiri
Man u hata kushindana na KMC hawezi1. Man u
2. Man c
3. Liverpool
4. Arsenal
Lingard na rashford ukiwajumlisha hawamfikii kahata ukweli mchunguManchester United itakuja kasi sana, na itakusanya points 25 katika mechi zake 10 za mwanzo
ole millya anaanza kufukuzwa1. Man City
2. Liverpool
3. Arsenal
4. Man Utd
Frank Lampard atakuwa kocha wa kwanza kwa timu kubwa kutimuliwa.
Wana chuki na Chelsea kutokana na mafanikio yao ndo maana wanalazimisha eti arsenal iwe top 4 ingawa wanajua uwo uwezo hawana.Sijawahi kuona Chelsea ikitabiriwa na wengi kuwa top four kwa miaka kadhaa sasa...na msimu uliopita kuna watu walisema itashuka daraja....lkn ligi ikimalizika inaacha watabili uchwala mkiumbuka ***** zenu....na niwakumbushe tu.....Chelsea ndo timu iliobeba makombe mengi tangu mwaka 2005 mpaka sasa pale england
Arsenal
Liverpool
Man city
Man u
10. Chelsea