Tupia top 4 yako EPL 2019/2020

Niliwaambia ndan ya michezo 10 hamuwez kuwepo ndan ya top 4 ,

Nafas ya 10-15

Hiyo lazima

Tupo hapa nitakuja kufukua kaburi

Sasa hiv ratiba inawadanganyeni mna timu ya kuingia hata top 8

Kwani mechi ngapi zimechezwa adi leo. Na zimebaki ngapi kutimia 10? Pia tupo nafasi ya ngapi adi sasa?
 
Epl top 4:-

1. West gorton(Sky Blues).
2. The reds.
3. The liliywhites.
4. The claret & blue(Lions)

*************!!!!!!!!!!**************
 
Mungu akujalie utaendelea kuaibika mpaka mwisho wa maisha yako yote
Niliwaambia ndan ya michezo 10 hamuwez kuwepo ndan ya top 4 ,

Nafas ya 10-15

Hiyo lazima

Tupo hapa nitakuja kufukua kaburi

Sasa hiv ratiba inawadanganyeni mna timu ya kuingia hata top 8
 

[emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…