Niliwaambia ndan ya michezo 10 hamuwez kuwepo ndan ya top 4 ,
Nafas ya 10-15
Hiyo lazima
Tupo hapa nitakuja kufukua kaburi
Sasa hiv ratiba inawadanganyeni mna timu ya kuingia hata top 8
We jamaa umeingia chaka
Niliwaambia ndan ya michezo 10 hamuwez kuwepo ndan ya top 4 ,
Nafas ya 10-15
Hiyo lazima
Tupo hapa nitakuja kufukua kaburi
Sasa hiv ratiba inawadanganyeni mna timu ya kuingia hata top 8
Niliwaambia ndan ya michezo 10 hamuwez kuwepo ndan ya top 4 ,
Nafas ya 10-15
Hiyo lazima
Tupo hapa nitakuja kufukua kaburi
Sasa hiv ratiba inawadanganyeni mna timu ya kuingia hata top 8
1.LEICESTER CITY
2.LIVERPOOL
3.MAN CITY
4.TOTTENHAM HOTSPURS
Andika tena1.LEICESTER CITY
2.LIVERPOOL
3.MAN CITY
4.TOTTENHAM HOTSPURS
Arsenal[emoji28][emoji28][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji28][emoji1787][emoji16][emoji28][emoji16][emoji28][emoji28][emoji1787][emoji28][emoji1787][emoji28][emoji1787][emoji28][emoji16]Man City
Spurs
Arsenal
Man United
RudiaLiverpool
Manchester City
Chelsea
Fourth Club I hadn't come to uncover it yet
Amani iwe nanyi wakuu,
Kulingana na usajili ulivyo msimu huu, natabiri hii ndiyo top-four yangu msimu huu.
Man city
Chelsea
Liverpool
Everton
LONDON BOY
Manchester City watachukua EPL mpka Pep atakapoondoka.
Kwangu nianze na timu ambazo zitakuwa title contenders man city na Liverpool hawa hawatakosa top 4 panga pangua.. kishazinabaki nafasi 2, chelsea na kukosa kwake kusajiri namtoa kwenye top 4 manchester united anaingia hayumo sababu nimecheki game zake naona kama ugonjwa haujawaisha kama wasiposajili basi tutegemee yale yale ya msimu uliopita, arsenal km watasajili vizuri nikimaanisha idara ya ulinzi top 4 kwao ni uhakika msimu uliopita walikosa nafasi kimaajabu tu kiasi wazee wa Stamford bridge wakakalia kiti.. Tottenham mie nawapa nafasi..
So top 4 yangu itakuwa watu hawa..
1.man city
2.liverpool
3.tottenham
4.arsenal
5.manchester united
6.chelsea.