ryana fan
JF-Expert Member
- Apr 27, 2018
- 2,632
- 3,055
Niliwaambia ndan ya michezo 10 hamuwez kuwepo ndan ya top 4 ,
Nafas ya 10-15
Hiyo lazima
Tupo hapa nitakuja kufukua kaburi
Sasa hiv ratiba inawadanganyeni mna timu ya kuingia hata top 8
Kwani mechi ngapi zimechezwa adi leo. Na zimebaki ngapi kutimia 10? Pia tupo nafasi ya ngapi adi sasa?