ryana fan
JF-Expert Member
- Apr 27, 2018
- 2,632
- 3,055
Chelsea huwa wanatutoa kabisa ktk top four zao miaka yote,ila huwa tunawaumbua na prediction zao,na huwa haipiti miaka mitatu bila kubeba epl, anyway prediction yangu ni Man City au Chelsea mmojawapo atakuwa bingwa,hao wawili ni Liverpool na Tottenham,man utd na Arsenal bado mtaendelea kutusubiri
Kweli aiseee huwa wanaitolea chelsea povu balaa mwisho wa siku wanabaki kuumbuka wenyewe