Tupia utabiri wako kuelekea kufungwa kwa pazia la EPL Jumapili

Tupia utabiri wako kuelekea kufungwa kwa pazia la EPL Jumapili

Greatest Of All Time

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2017
Posts
23,620
Reaction score
52,790
Ligi ya EPL inafikia ukingoni jumapili tarehe 26 july 2020, kuna vita ya aina mbili kuelekea kufungwa kwa ligi. Kwanza ni timu mbili ambazo zitaungana na Liverpool na Man City kuelekea kwenye mashindano ya Uefa Champions League msimu ujao. Pili ni nani ataungana na Norwich kushuka daraja.

Mechi zote zitapigwa muda mmoja saa 12 jioni siku ya jumapili.

Adjustments.JPG

Kwenye vita ya Top 4, nafasi ya 3 na 4 inagombewa na timu tatu ambazo ni Man Utd, Chelsea na Leicester.

Mechi za mwisho za timu hizo ni;
Leicester City Vs Man Utd
Chelsea Vs Wolves

Adjustments.JPG

Kwenye vita ya kushuka daraja kuna timu tatu ambazo ni Bournemouth, Watford na Aston Villa, zinatafutwa timu mbili za kuungana na Norwich.

Mechi za mwisho;
Aston Villa Vs West Ham
Watford Vs Arsenal
Bournemouth Vs Everton

Tabiri timu mbili zitakazoingia top 4 kuungana na bingwa Liverpool na Man City na timu mbili zitakazoungana na Norwich kushuka daraja!

Top 4 yangu; Liver, Man City, Man Utd na Chelsea
Wanaoshuja daraja; Norwich, Bournemouth na Watford

Karibu kwa utabiri wako
 
Top 4nyangu ni Liverpool, city, Chelsea na Leicester city. Wanaoshuka daraja ni Bournemouth na Aston vVilla.
Tukutane Jumapili.
Ona hapa.

Aston Villa gemu ya mwisho anacheza na Westham. Westham katoka kusuluhu na Man U na alimpiga 3 chelsea hivyo ni timu ngumu.

Watford gemu ya mwisho anacheza na Arsenal. Arsenal katoka kufungwa na Aston Villa, na alifungwa na Watford gemu ya kwanza (suluhu sikumbuki vizuri) Arsenal wanahitaji huu ushindi kuwabust kabla ya kukutana na Chelsea. Watford katoka kupigwa nne na City naye ana hamu na ushindi.

Aston Villa ataresort kwenye mbinu zilizompa ushindi kwa Arsenal hivyo Westham wana kazi ya kulitoa basi pembeni, Watford atakuja huku kafunguka kufight asishuke, hapo ndipo atakosea as Arsenal wakicounter vizuri watashinda nyingi. Auba atakua na papara ili kujaribu kukikaribia kiatu, Watford wajiandae.

Mimi nasema Aston Villa ana chansi nyingi za kubaki kuliko hata Watford. Na hizo mechi za mwisho kama wote watafungwa (Villa na Watford) atakayepigwa nyingi ndiye atakua kapotea ambaye hawezi kua Villa.
 
Ona hapa.

Aston Villa gemu ya mwisho anacheza na Westham. Westham katoka kusuluhu na Man U na alimpiga 3 chelsea hivyo ni timu ngumu.

Westham baada ya kupata draw kwa Man Utd ametimiza points ambazo yuko safe kwenye kushuka.

Nahisi hatakuwa na pressure na anaweza asikaze sana.

Arsenal wameshikilia hatima ya Samatta kubaki ligi kuu, na ninaamini kwamba watafanya vyema.
 
Westham baada ya kupata draw kwa Man Utd ametimiza points ambazo yuko safe kwenye kushuka.

Nahisi hatakuwa na pressure na anaweza asikaze sana.

Arsenal wameshikilia hatima ya Samatta kubaki ligi kuu, na ninaamini kwamba watafanya vyema.
Na kiukweli nataka Samata abaki ili nione kama ataendeleza kupokonya watu namba na kuwaprove wrong wanaohoji kiwango chake
 
Ona hapa.

Aston Villa gemu ya mwisho anacheza na Westham. Westham katoka kusuluhu na Man U na alimpiga 3 chelsea hivyo ni timu ngumu.

Watford gemu ya mwisho anacheza na Arsenal. Arsenal katoka kufungwa na Aston Villa, na alifungwa na Watford gemu ya kwanza (suluhu sikumbuki vizuri) Arsenal wanahitaji huu ushindi kuwabust kabla ya kukutana na Chelsea. Watford katoka kupigwa nne na City naye ana hamu na ushindi.

Aston Villa ataresort kwenye mbinu zilizompa ushindi kwa Arsenal hivyo Westham wana kazi ya kulitoa basi pembeni, Watford atakuja huku kafunguka kufight asishuke, hapo ndipo atakosea as Arsenal wakicounter vizuri watashinda nyingi. Auba atakua na papara ili kujaribu kukikaribia kiatu, Watford wajiandae.

Mimi nasema Aston Villa ana chansi nyingi za kubaki kuliko hata Watford. Na hizo mechi za mwisho kama wote watafungwa (Villa na Watford) atakayepigwa nyingi ndiye atakua kapotea ambaye hawezi kua Villa.
Arsenal hajafungwa na Watford msimu huu,
Game iliisha kwa sare ya 2 ~ 2,
 
Kwani Arse8 mbona hazungumziwi? Hata EL hawezi shiriki!!

Midtable teams[emoji1787][emoji1787]

Top Four iko hivi
1.Liverfool
2.Man City
3.Chelsea
4.Man Utd

Wanaoshuka daraja
18.Watford
19.Bournemouth
20.Norwich
 
Kwani Arse8 mbona hazungumziwi? Hata EL hawezi shiriki!!

Midtable teams[emoji1787][emoji1787]

Top Four iko hivi
1.Liverfool
2.Man City
3.Chelsea
4.Man Utd

Wanaoshuka daraja
18.Watford
19.Bournemouth
20.Norwich

Msimu ujao atazungumziwa kwenye kundi la hao hapo chini.

Kina Westbrom na Leeds United.
 
Ligi ya EPL inafikia ukingoni jumapili tarehe 26 july 2020, kuna vita ya aina mbili kuelekea kufungwa kwa ligi. Kwanza ni timu mbili ambazo zitaungana na Liverpool na Man City kuelekea kwenye mashindano ya Uefa Champions League msimu ujao. Pili ni nani ataungana na Norwich kushuka daraja.

Mechi zote zitapigwa muda mmoja saa 12 jioni siku ya jumapili.


Kwenye vita ya Top 4, nafasi ya 3 na 4 inagombewa na timu tatu ambazo ni Man Utd, Chelsea na Leicester.

Mechi za mwisho za timu hizo ni;
Leicester City Vs Man Utd
Chelsea Vs Wolves


Kwenye vita ya kushuka daraja kuna timu tatu ambazo ni Bournemouth, Watford na Aston Villa, zinatafutwa timu mbili za kuungana na Norwich.

Mechi za mwisho;
Aston Villa Vs West Ham
Watford Vs Arsenal
Bournemouth Vs Everton

Tabiri timu mbili zitakazoingia top 4 kuungana na bingwa Liverpool na Man City na timu mbili zitakazoungana na Norwich kushuka daraja!

Top 4 yangu; Liver, Man City, Man Utd na Chelsea
Wanaoshuja daraja; Norwich, Bournemouth na Watford

Karibu kwa utabiri wako
Iko wazi.

Liver
Mancity
Leicester
Chelsea
Manu
....
.....
......
Watford
Bournemouth
Norwich
 
Liverpool
ManCity
ManU [Watapewa Penati / RedCard kwa Leicester/ au vyote viwili]
Chelsea

Watford Kukandikwa goli nyingi na Arsenal, walio na hasira na Watford kutokana na maneno ya zeleu dhidi ya Arsenal mechi iliyopita.

Aston Villa kupita kwa vile West Ham wako kwenye mawazo ya likizo tayari.
 
Back
Top Bottom