lucley
JF-Expert Member
- Jun 15, 2016
- 727
- 1,986
Dah mtihani wangu wa darasa la saba sikuufanya kwa amani kabisa. Nilikua ka-bwana mdogo mno ( mfupi) hivyo kupelekea watu wanishangae sana nnavyopita mitaani kwenda shule kufanya mtihani.
Ilinibidi niwe napita 'chocho kwa chocho', stendikuu- jakaranda- mto meta- mbalizi road ili kukwepa 'macho' ya watu sababu ya kuonea aibu maneno ya wanaonitania njiani.
Ilinibidi niwe napita 'chocho kwa chocho', stendikuu- jakaranda- mto meta- mbalizi road ili kukwepa 'macho' ya watu sababu ya kuonea aibu maneno ya wanaonitania njiani.