Ungecreate poll. Ili abofye tu...Wakuu salaam!
Kuna mdau kaanzisha mada na kuonesha Yanga ni namba 1 kwa kuwa na washabiki wengi, binafsi nakataa. Simba ndiyo inaongoza kwa kuwa na washabiki wengi.
Sasa ili kuweka rekodi sawa, tupige kura kwa kujitaja wewe ni mshabiki wa timu gani kisha mwishoni tutatoa matokeo yatakayotumika kama sample ya washabiki wote.
Naanza mimi!
We piga kura tu acha maneno mingiKwenye hili jukwaa la sport kuna speciàl thread za simba na yanga: hebu angalia idadi ya wachangiaji ndo utajua timu gani inawashabiki wengi. Na hiyo ndo sample tosha kabisa ya kura unazotaka kuanzisha humu.
kura unapiga jf!Piga kura, hata Nyamisati FC ni timu ya wananchi