Tupige kura, timu ipi ina washabiki wengi kati ya SIMBA na YANGA!

Tupige kura, timu ipi ina washabiki wengi kati ya SIMBA na YANGA!

Washabiki wa Yanga ni wengi sana, ila wengi hawaingii mpirani, na wanapenda dezo sana.
Mfano kuna mechi moja ilifanyika hapa Daresalam , Manji akainunua hivyo kuwaruhusu washabiki waingie bure uwanjani siku hiyo washabiki wa Yanga waliujaza uwanja.
Na nje ya uwanja kulikuwa na umati mkubwa wa wapenzi wa Yanga hadi Polisi ilibidi waingilie kati kuwalazimishwa wasiendelee kufulika nje na ndani ya uwanja.
Wanayanga walitoka Kongowe na maeneo mengine ya mbali hadi uwanja wa taifa kwa mguu kuja kuona mpira wa bure.

Tofauti na washabiki wa Simba, ki idadi ni wachache ukilinganisha na wa Yanga, ila wanaingia wengi uwanjani kwa kulipia tiketi.
Washabiki wa Simba wamesha ujaza uwanja mara nyingi tu, katika mechi zao na timu nyingine.
Katika sherehe za Simba Day, wanasimba huwa wanaujaza uwanja bila shida.
Yanga ni wengi sana ila wanashabikia mpira nje ya uwanja, kama kuangalia kwenye TV au ktk Vibanda Umiza.

Natanguliza Samahani kama nimewakwaza.
Rafiki, vya bure havinaga mshabiki, pale hata wanasimba na wasio na timu waliingia. Hilo si la kusemea kuwa wana Yanga ni wengi.Ukitaka kujua washabiki halisi weka kiingilio like siku ya Simba aka Simba day!
 
Mpaka sasa SIMBA inaongoza kwa polls!!

Tuache kuzunguka, just weka vote yako, after some threads utajudge ni timu ipi inaongoza!
 
Wa matopeni mnaambiwa muweke kura mnaanza maneno ya vyura vyura mnayofunzwa na Mzee Akilimali.
 
...Wakuu salaam!
Kuna mdau kaanzisha mada na kuonesha Yanga ni namba 1 kwa kuwa na washabiki wengi, binafsi nakataa. Simba ndiyo inaongoza kwa kuwa na washabiki wengi.

Sasa ili kuweka rekodi sawa, tupige kura kwa kujitaja wewe ni mshabiki wa timu gani kisha mwishoni tutatoa matokeo yatakayotumika kama sample ya washabiki wote.

Naanza mimi!

Ni sawa na kusema tupi
...Wakuu salaam!
Kuna mdau kaanzisha mada na kuonesha Yanga ni namba 1 kwa kuwa na washabiki wengi, binafsi nakataa. Simba ndiyo inaongoza kwa kuwa na washabiki wengi.

Sasa ili kuweka rekodi sawa, tupige kura kwa kujitaja wewe ni mshabiki wa timu gani kisha mwishoni tutatoa matokeo yatakayotumika kama sample ya washabiki wote.

Naanza mimi!

Ni sawa na kusema tupige kura ni mji gani una watu wengi zaidi kati ya Dar es Salaam na Mwanza...Hapana shaka yoyote ile Yanga ndiyo yenye mashabiki wengi zaidi na hii inatokana na historia...hii ni timu ya wananchi...wengi ni watu wa kawaida sana...historically Simba ilikuwa ya watu wenye pesa na hasa waarabu...na hata sasa waarabu ndio waliojaa Simba...Na ukiona Simba anaishinda Yanga uwanjani ujue tu Yanga kuna mgogoro....Pasipo mgogoro Simba kamwe hawezi kuishinda Yanga uwanjani...Ila Simba huwa anatumia udhaifu huu wa kuifunga Yanga...Wanachama na wapenzi wa Yanga ni rahisi kurubuniwa ili kuifungisha timu yao...Wako wanachama wa Yanga ambao wako tayari kuhongwa vijisenti vichache kuifungisha timu yao...Huu ndio udhaifu wa Yanga...
 
Mechi ya mabingwa Wa kihistoria Young Africans Football Club "the Citizen team" na biashara united ni sangapi?
 
Tangu enzi za ukoloni washabiki wa simba hawajawahi kufikia nusu ya mashabiki wa yanga! ila mashabiki wa simba wana mdomo na ni wapiga makelele kweli kweli! @hajimanarra
 
Back
Top Bottom