Tupike makande

Kusema ukweli kabisa hiki chakula nakikubali, shida yake moja tu ukila kila baada ya masaa 2 utakula tena hakishiki tumboni ni kama upepo.
Na kwa ushauri tu kula weekend upo home usije kula unaenda ofisi za watu unaweza kuumbuka usipokuwa makini
 
Kusema ukweli kabisa hiki chakula nakikubali, shida yake moja tu ukila kila baada ya masaa 2 utakula tena hakishiki tumboni ni kama upepo.
Na kwa ushauri tu kula weekend upo home usije kula unaenda ofisi za watu unaweza kuumbuka usipokuwa makini
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ why uumbuke
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…