Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
poa kabisa siju hapo weMambo ya hapa na pale yananifanya nakosa muda kiasi, kwema lakini?
Makaribu gereza kuu
HomeWw umejifunzia wapi haya mambo
Ahhah kisaKwa upishi huo utakuwa ulilala ukijamba sana!
Muda?Home
Ninao kwasasa wakutosha labda nikihama ukuMuda?
Kwenye foili ni nini?😋
Embe..
Mimi Natoka saa Moja narudia saa sita usiku, ikn pia hata kama ningekuwa nao Mimi ni mvivu sana kwenye sekita hiyoNinao kwasasa wakutosha labda nikihama uku
Namshukuru Mungupoa kabisa siju hapo we
Samaki wa bahariniKwenye foili ni nini?😋
Umekosa apple na tikit na embeEmbe..
Sema ivyo mkuuMimi Natoka saa Moja narudia saa sita usiku, ikn pia hata kama ningekuwa nao Mimi ni mvivu sana kwenye sekita hiyo
😂😂😂 why uumbukeKusema ukweli kabisa hiki chakula nakikubali, shida yake moja tu ukila kila baada ya masaa 2 utakula tena hakishiki tumboni ni kama upepo.
Na kwa ushauri tu kula weekend upo home usije kula unaenda ofisi za watu unaweza kuumbuka usipokuwa makini
Sawa sikuiz tunakuona kwa manatNamshukuru Mungu