Kelsea
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 14,564
- 34,341
Hicho kifuko juu ya njegere ni soseji?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hicho kifuko juu ya njegere ni soseji?
Mkate aseHicho kifuko juu ya njegere ni soseji?
Embe inaonekana zaidiUmekosa apple na tikit na embe
Mkate kwenye friji? Ladha haiharibiki kweli?Mkate ase
HapanaMkate kwenye friji? Ladha haiharibiki kweli?
Sawa sawa. Nakuja kula makande 🚶🚶🚶Hapana
Karibu sanaaaSawa sawa. Nakuja kula makande 🚶🚶🚶
Asante sanaNimezitamaniiiii although sisi wapare toleo la kwanza kabisa😜 hapo hizo kande tunatia na boga (ikoko) unakua umelichemsha pembeni unakuja liweka na nazi ya kukuna unaanza na tui la pili halafu unamalizia la kwanza, Aloooo hushibi kabisa unajikuta unakula tuu. Hongera umezipika pia vizuri 👍🏽
Usisau picha kuweka hapaHaya makande yanaonekana matamu . Nimependa jinsi ulivyopika, sijayala siku nyingi nitatumia recipe hii nikiyapika tena.
Utaniona kwa luninga sasa.Sawa sikuiz tunakuona kwa manat
Sasa hapo kande halijakamilika. Inatakiwa sasa uweke:View attachment 3241905
Makande mengi sana naona kesho nitabeba nipoenda kwenywe maangaiko nikale na wenzangu
Naona kabisa sio siriUtaniona kwa luninga sasa.
Uncle we mngoniWapare wamefikiwa
Tulia Ephen, tulia kabisa...mimate imenijaa hapa balaa. Huyu jamaa anajua. Mkuu Mwachiluwi upo bien sana...dah!Hauna kitambi? Unatumia sana mafuta
Hakukua na haja ya kukaanga hivyo viungo wakatu utaweka nazi.
Achana na sisi...najua hutupendi!!!🤣🤣Wapare wamefikiwa
Pole mkuu😂Tulia Ephen, tulia kabisa...mimate imenijaa hapa balaa. Huyu jamaa anajua. Mkuu Mwachiluwi upo bien sana...dah!