Tupime thamani ya pesa hapa (Value for Money) Je, Maslahi ya Mbunge yanaakisi hali halisi ya mwananchi wa kawaida?

Tupime thamani ya pesa hapa (Value for Money) Je, Maslahi ya Mbunge yanaakisi hali halisi ya mwananchi wa kawaida?

Value for money= thamani ya kazi/ huduma/kitu kulingana na pesa iliyotumika.
 
Ukisema wapunguze bila kujali wa chama tawala au mpinzani wote huwa kitu kimoja...wabunge ukigusa maslahi yao hawatakuelewa .
Wabunge wakitoa hoja hua wanajifanya wanauchungu sana na maslahi ya nchi, ila ukitaka kujua unafiki wao lizungumziwe hili bungeni halafu ipendekezwe wapunguziwe posho zao uone jinsi watakavyo kuja juu na kuungana wote kwa pamoja kupinga, bila ya kujali itikadi ya vyama vyao.
 
sijakuelewa


Screenshot_20200723-201057.png
 
Kama mtakumbuka kuna miaka ya hivi karibuni walirudisha bilioni 11 kuchangia mchango wa madawati kutoka kwenye budget yao. Hii inathibitisha hapa kuna pesa za kumwaga au excess budget allocation.
Na hapo safari za nje zisizokuwa Na tija kwa sasa hazipo.
Waishi tu maisha halisia ya ki-Tanzania kama watu wengine. Hawa ndio wala keki ya taifa wengine tunaambulia makande tu. Budget ya bunge inabidi ipunguzwe na kupelekwa kwenye sekta nyingine zenye mahitaji kama shule, hospitali na barabara.
They are more equal than the other.
 
Kama mtakumbuka kuna miaka ya hivi karibuni walirudisha bilioni 11 kuchangia mchango wa madawati kutoka kwenye budget yao. Hii inathibitisha hapa kuna pesa za kumwaga au excess budget allocation.
Na hapo safari za nje zisizokuwa Na tija kwa sasa hazipo.
Waishi tu maisha halisia ya ki-Tanzania kama watu wengine. Hawa ndio wala keki ya taifa wengine tunaambulia makande tu. Budget ya bunge inabidi ipunguzwe na kupelekwa kwenye sekta nyingine zenye mahitaji kama shule, hospitali na barabara.
They are more equal than the other.
umenena vyema kabisa
 
Wafunguliwe kesi ya uhujumu uchumi, hasa hiyo milioni 240. Hakuna mwanasiasa masikini wa pesa, labda wa kichwani (ujinga).
 
Back
Top Bottom