Tupo na JKT na Tabora utd mpaka zishuke daraja

MwananchiOG

JF-Expert Member
Joined
Apr 4, 2023
Posts
1,970
Reaction score
4,037
Ni kawaida kwa vilabu vidogo vidogo kukamia na kuweka nguvu nyingi zinapocheza na Bingwa mtetezi.

Tabora utd baada ya kuifunga Yanga wakaweka mpaka sherehe na pesa ndefu wakagawana, Ila walipocheza na walozi wengine wanaachia tu! Kwani hii Ligi anayecheza ni Yanga peke yake? JKT akicheza na Yanga anakamia balaa! Ila akutane na timu zingine sasa! Waaaaa!

Alama haziokotwi Yanga peke yake! Timu za Ligi kuu zipo 16 sio Yanga pekee.
 
Nahisi umeamka na kihoro mkuu sio Bure inaonyesha hata msimamo wa ligi hujui kwa hizo timu...kwani Yanga mbona mliweka sherehe Fountain gate alipotoka suluhu na Simba kwani kwenye ligi kuna Simba pekee?
 
Hamna akili
 
Yanga Ufanya Sikukuu Kila Akimfunga Simba
Kwa Hiyo Tukubaliane Yanga Wako level Moja Na Timu Ulizozitaja Sawa?
 
Yanga Ufanya Sikukuu Kila Akimfunga Simba
Kwa Hiyo Tukubaliane Yanga Wako level Moja Na Timu Ulizozitaja Sawa?
 
UKISHABIKIA SANA SIMBA NA YANGA NDIO MADHARA YAKE.

KICHWA KINAKUWA EMPTY KABISA.
UNAANZA KUWA ZUZU NATAHIRA.
 

huyumwanachuo kweri kweri
 
Bado tupo pamoja

KenGold 1 - 0 Tabora wakamiaji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…