Tupo na mama mpaka 2035, Kwa mara ya kwanza anaenda kugombea urais 2025, mara ya pili 2030, awamu ya sasa haihesabiki

Tupo na mama mpaka 2035, Kwa mara ya kwanza anaenda kugombea urais 2025, mara ya pili 2030, awamu ya sasa haihesabiki

Hii bangi Huwa mnavutia chooni au?
Makamu wa Rais anapochukua madaraka ya Rais aliyefariki:

Atahudumu kama Rais kwa kipindi kilichobaki cha muhula wa uongozi wa Rais aliyefariki.

Kipindi hicho cha utawala hakihesabwi kama awamu kamili kwa Makamu wa Rais anayechukua nafasi ya Rais.



2. Muda wa awamu itakavyohesabiwa:

Iwapo Makamu wa Rais atachukua nafasi ya Rais na kuhudumu kwa kipindi kilichobaki cha muhula wa Rais aliyefariki, nafasi hiyo itazingatiwa kama mwendelezo wa awamu ya urais iliyokuwa ikiendelea, na si awamu mpya kwa Rais huyo mpya.

Rais huyo ataweza kuwania awamu mbili kamili za urais katika uchaguzi mkuu unaofuata, kulingana na Ibara ya 40(2) ambayo inaruhusu mtu kushika madaraka ya Rais kwa awamu zisizozidi mbili.

3. Mfano wa utekelezaji:
Kama Rais atafariki mwaka wa tatu wa muhula wake, Makamu wa Rais atachukua nafasi kwa miaka miwili iliyobaki, na kipindi hicho hakitahesabiwa kama awamu yake ya kwanza. Anaweza kugombea na kuhudumu kwa vipindi viwili kamili baada ya hapo, kama sh
eria inavyoruhusu.

Haya Magufuli alimaliza miaka mitatu Ndio akafa? Jibu ni hapana! Hivyo Samia ameshahudumu awamu yake Moja amebakiza awamu Moja!
Kesha usiku mzima andika hata kurasa 300 Mama atapewa MITANO TENA 2030
 
Kasome katiba iko specific kabisa kuhusu anayekaimu urais kama ni chini ya miaka 3 basi haihesabiki kama ni zaodi ya miaka 3 inahesabika kama kipindi kamili. Hivyo Rais Samia kakaimu na katawala zaidi ya miaka mitatu.
Acheni kuropoka unless kama katiba itabadilishwa.
Hao Ndio vijana wa CCM mkuu! Kuwaelewa Inabidi uwe na mapafu ya mamba! Na Ndio mtaji wa Ccm kuendelea kutawala!
Wanasema chamani Kuna demokrasia ona Mwenyewe amejutangaza kuwa Mwenyekiti amewapa Jina la Makamu wake bara na ametangaza Jina la Mgombea Mwenza mwenyewe! Na Bado wamekenua
 
Hao Ndio vijana wa CCM mkuu! Kuwaelewa Inabidi uwe na mapafu ya mamba! Na Ndio mtaji wa Ccm kuendelea kutawala!
Wanasema chamani Kuna demokrasia ona Mwenyewe amejutangaza kuwa Mwenyekiti amewapa Jina la Makamu wake bara na ametangaza Jina la Mgombea Mwenza mwenyewe! Na Bado wamekenua
Unataka nchi atawale nani Sasa kama sio ccm
 
Katiba haifuatwi na hakuna utalofanya 🤣🤣🤣🤣🤣
Kwako hii ni sifa nzuri kabisa na unaweza kushangilia watu kutofauata na kuheshimu utaratibu uliowekwa! Siku utawala mwingine ukishika Dola na usifuate katiba kwako ni sawa tu!
Au mtakua wa kwanza Kuomba sanctions!
Yamkini mmetumwa sasa mtandaoni kufanya spinning Kwa I'd fake
 
Kwako hii ni sifa nzuri kabisa na unaweza kushangilia watu kutofauata na kuheshimu utaratibu uliowekwa! Siku utawala mwingine ukishika Dola na usifuate katiba kwako ni sawa tu!
Au mtakua wa kwanza Kuomba sanctions!
Yamkini mmetumwa sasa mtandaoni kufanya spinning Kwa I'd fake
Hamna utawala utaoshika hii nchi ni ya ccm mzee acha kuandika pumba eti utawala mwingine wakati nchi ya ccm🤣🤣🤣🤣
 
2025 ndio uchaguzi rasmi wa kwanza kwa mama kugombea urais

2030 itakuwa ni awamu ya pili, Wajumbe wa CCM kwa kauli moja hawana tatizo lolote kwa Samia Suluhu Hassan kuwania tena nafasi katika uchaguzi wa 2030

Awamu ya sasa haihesabiki kwasababu ni jukumu lililomlazimu aliwajibikie kama makamu wa rais wa awamu iliyopita

Wajumbe wa CCM kwa kauli moja hawana tatizo lolote, Iwe kwa mvua iwe kwa jua, 2030 kuna mitano tena ya mama 😀😀
Ni katiba ya wapi hii??😂😂
 
2025 ndio uchaguzi rasmi wa kwanza kwa mama kugombea urais

2030 itakuwa ni awamu ya pili, Wajumbe wa CCM kwa kauli moja hawana tatizo lolote kwa Samia Suluhu Hassan kuwania tena nafasi katika uchaguzi wa 2030

Awamu ya sasa haihesabiki kwasababu ni jukumu lililomlazimu aliwajibikie kama makamu wa rais wa awamu iliyopita

Wajumbe wa CCM kwa kauli moja hawana tatizo lolote, Iwe kwa mvua iwe kwa jua, 2030 kuna mitano tena ya mama 😀😀
Madhara ya kichwa kushambuliwa na fangasi sugu
 
2025 ndio uchaguzi rasmi wa kwanza kwa mama kugombea urais

2030 itakuwa ni awamu ya pili, Wajumbe wa CCM kwa kauli moja hawana tatizo lolote kwa Samia Suluhu Hassan kuwania tena nafasi katika uchaguzi wa 2030

Awamu ya sasa haihesabiki kwasababu ni jukumu lililomlazimu aliwajibikie kama makamu wa rais wa awamu iliyopita

Wajumbe wa CCM kwa kauli moja hawana tatizo lolote, Iwe kwa mvua iwe kwa jua, 2030 kuna mitano tena ya mama 😀😀
Kama haihesabiki mbona inaitwa awamu ya sita?? Au atakuwa na awamu ngapi mbili kwamba ya sita na saba ni mama
 
Tumia muda kuifahamu katiba ya nchi yako.
Madaraja yanavukwa yakifikiwa, sio kabla. Unapata tabu na daraja la 2030 ilihali ndo tumelifikia la 2025.
 
2025 ndio uchaguzi rasmi wa kwanza kwa mama kugombea urais

2030 itakuwa ni awamu ya pili, Wajumbe wa CCM kwa kauli moja hawana tatizo lolote kwa Samia Suluhu Hassan kuwania tena nafasi katika uchaguzi wa 2030

Awamu ya sasa haihesabiki kwasababu ni jukumu lililomlazimu aliwajibikie kama makamu wa rais wa awamu iliyopita

Wajumbe wa CCM kwa kauli moja hawana tatizo lolote, Iwe kwa mvua iwe kwa jua, 2030 kuna mitano tena ya mama 😀😀
Huu ujinga wako uliouandika hapa, utakuja kuujutia sana pale Izrael Mtoa roho pale atakapofanya lile jambo lake kwa wakati.
 
2025 ndio uchaguzi rasmi wa kwanza kwa mama kugombea urais

2030 itakuwa ni awamu ya pili, Wajumbe wa CCM kwa kauli moja hawana tatizo lolote kwa Samia Suluhu Hassan kuwania tena nafasi katika uchaguzi wa 2030

Awamu ya sasa haihesabiki kwasababu ni jukumu lililomlazimu aliwajibikie kama makamu wa rais wa awamu iliyopita

Wajumbe wa CCM kwa kauli moja hawana tatizo lolote, Iwe kwa mvua iwe kwa jua, 2030 kuna mitano tena ya mama 😀😀
Kama awmu hii haisabiki basi akubali kuingia kweye uchaguzi wa ndani ya chama agombee hiyo nafasi na wenzake
 
2025 ndio uchaguzi rasmi wa kwanza kwa mama kugombea urais

2030 itakuwa ni awamu ya pili, Wajumbe wa CCM kwa kauli moja hawana tatizo lolote kwa Samia Suluhu Hassan kuwania tena nafasi katika uchaguzi wa 2030

Awamu ya sasa haihesabiki kwasababu ni jukumu lililomlazimu aliwajibikie kama makamu wa rais wa awamu iliyopita

Wajumbe wa CCM kwa kauli moja hawana tatizo lolote, Iwe kwa mvua iwe kwa jua, 2030 kuna mitano tena ya mama 😀😀
Kwenye hilo fuvu kuna akili, au kamasi?
 
Back
Top Bottom