Tupo Oslo, Norway Hiki alichovaa huyu jamaa anayempa mkono Madam President ni kitu gani?

Tupo Oslo, Norway Hiki alichovaa huyu jamaa anayempa mkono Madam President ni kitu gani?

Sasa hayo malalamiko si umpelekee mbunge wako yeye ndie anajua anakopatikana waziri wa wizara ya maji, inahusiana vipi na ziara ya raisi wetu mpendwa?
Kwani waziri wa maji haona sehemu haina maji akapeleka? Au maana ya watendaji wa serikali kuwa hadi ngazi za chini ni nini? Kila siku akipokea ripoti ya siku inakuwa imeandikwa nini?
 
Kumbe Norway Ni barid Kali na snow inshuka

Alfu Africa hkn Hali Kama hyo
Mungu alijuwa kutupangia pa kuishi mnk kwa barid hi Kamwe tusingetoboa
Natamani Sana nikaish huko

Napenda snow

Mnorway yyte anioe nipo free single

Njoo PM
 
Kumbe mko kwenye maandamano kama wale wana tofauti nyie mko nje.

Amevaa cha kuwapima IQ zenu
 
Amevaa cha kuwapima IQ zenu
Absolutely correct, wanawashangaa
Nyumbani kuna msiba mzito wao wanazurura
Nyumbani kuna resources zote lakini wao ombaomba
Nyumbani kuna shida ya maji, umeme na sukari na gharama za maisha ziko juu wao wanazurura
 
Pamoja na baridi kali hapa ila tunavumilia tu sababu ni kesho tu tunarudi zetu Dodoma kwenye hali yetu tuliyozoea.

Amasema alitaka kumuuliza ila kwa sababu za protocol akashindwa, ni kitu gani hicho?.

View attachment 2904093
Natamani sana zile safari za kwenda kutembelea mwezi kwa ajili ya watu binafsi zikianza huyu mama kizimkazi aende akazurure kwenye mwezi si ndio kazi tulizomtuma kwasababu nchi zote keshamaliza
 
Siyo kazi ya mbunge kuleta huduma za jamii. Ni kazi ya serikali ambayo inakusanya Kodi zetu na kusimamia uuzaji wa rasilimali kama madini etc. Mbunge ni kiranja wa kutusemea tu... Mpaka wananchi wajue wajibu wa mihimili yote tutakuwa tunawalaumu wasiohusika
Mbunge hasemei matatizo ya wananchi wenzake bungeni, Anabaki kusifia upumbavu na kutoa maoni yasiyo na manufaa kwa wananchi kwanini asilaumiwe?
 
Back
Top Bottom