Doto Dotto
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 3,906
- 2,902
Maza alipovaa ushungi Huwa anadamshi sanaaaa .....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kiukweli tunamshukuru Mh. rahisi kwa kwani tangu aingie madarakani bahari inakupwa na kujaa vizuri 😂😂😂😂😂
Ila mama ....Hapa kuna mtu alipigwa jicho na madam president unaweza kuzoom kupata mrejesho 😃!.
View attachment 2904097
Sana anang'aa mnoMaza alipovaa ushungi Huwa anadamshi sanaaaa .....
Wewe Mgerasi Maghayo unaona fursa hiyo au ndio bado umelala makaburini unasubiri Yesu aje akutoe Pepo wa kuzubaa,Natamani Sana nikaish huko
Napenda snow
Mnorway yyte anioe nipo free single
Njoo PM
Haya matatizo kwanini wanyonge hawampekeagi Makonda?!😡😡. Si wanasema yeye ni daktari wa matatizo ya wanyonge hapa nchini?😅😅Absolutely correct, wanawashangaa
Nyumbani kuna msiba mzito wao wanazurura
Nyumbani kuna resources zote lakini wao ombaomba
Nyumbani kuna shida ya maji, umeme na sukari na gharama za maisha ziko juu wao wanazurura
mbaya zaid wanakaa nae vijiwen wanamsifiaMbunge wenu humjui?
Mume wa rais ana wake 4 hawezi kuacha watatu akafuatana na mmoja. Zamu yake akirudi.
Hapo ndipo hadi kesho bado najiuliza why first gentleman asiwepo, shida nini?.
Pamoja na baridi kali hapa ila tunavumilia tu sababu ni kesho tu tunarudi zetu Dodoma kwenye hali yetu tuliyozoea.
Amasema alitaka kumuuliza ila kwa sababu za protocol akashindwa, ni kitu gani hicho?.
View attachment 2904093
Kwa kweli ninaungana nawe kuishukuru sana awamu ya sita 😂😂😂😂😂😂Si haya ndio mambo tunataka kusikia, si unaona tangu awamu ya sita ianze hata uzamaji wa jua unavutia zaidi uwekezaji? Hata ndugu yangu Lucas mwashambwa hajaliona hilo.
😆😆😆😆 Ha ha ha ha kwahiyo amebakiza mwezini tuNatamani sana zile safari za kwenda kutembelea mwezi kwa ajili ya watu binafsi zikianza huyu mama kizimkazi aende akazurure kwenye mwezi si ndio kazi tulizomtuma kwasababu nchi zote keshamaliza
Mwana kumbe upo mahome kitaa kabisaaaMwananyamala hakuna Maji wiki ya pili sasa, watu wananuka vikwapa