tikiti maji
New Member
- Aug 14, 2010
- 3
- 0
Habari wana JF?!!
Ndoa yangu ni changa sana, ina miaka minne tu but we spent almoast six years in relations before marriage.
Nimesomesha huyu mke kuanzia diploma hadi degree na mwenzangu kawa na bahati kwani amekuwa employed sehemu ambayo wanamlipa na kumu entertain vizuri sana kucompare na mie niliesomea degree nikiwa kazini, inanilazimu nilipe fadhila kwa kampuni.
N`way, the problem is; mke wangu kaanza tabia za umimi sana, mfano kafungua duka kwa juhudi zake binafsi ingawa lilikuwa ni wazo langu. Amini usiamini shemeji zangu wamekuwa na nguvu dukani kuliko mie mumewe. Pia akifanya chochote cha maendeleo anashirikisha zaidi nduguze kuliko mie, inakuwa kana kwamba mie si mumewe, hata vitu vya ndani alivyonunua yeye nduguze wanavijua vyote.
Sasa najiuliza kitu kimoja, kwanini vyangu viwe vyake na vyake viwe vyao?? na tabia hii nimeiona baada ya yeye kupata kazi.
Wana JF ni ndoa zote ziko hivi au ni yangu tuu? Ushauri Jamani
Ndoa yangu ni changa sana, ina miaka minne tu but we spent almoast six years in relations before marriage.
Nimesomesha huyu mke kuanzia diploma hadi degree na mwenzangu kawa na bahati kwani amekuwa employed sehemu ambayo wanamlipa na kumu entertain vizuri sana kucompare na mie niliesomea degree nikiwa kazini, inanilazimu nilipe fadhila kwa kampuni.
N`way, the problem is; mke wangu kaanza tabia za umimi sana, mfano kafungua duka kwa juhudi zake binafsi ingawa lilikuwa ni wazo langu. Amini usiamini shemeji zangu wamekuwa na nguvu dukani kuliko mie mumewe. Pia akifanya chochote cha maendeleo anashirikisha zaidi nduguze kuliko mie, inakuwa kana kwamba mie si mumewe, hata vitu vya ndani alivyonunua yeye nduguze wanavijua vyote.
Sasa najiuliza kitu kimoja, kwanini vyangu viwe vyake na vyake viwe vyao?? na tabia hii nimeiona baada ya yeye kupata kazi.
Wana JF ni ndoa zote ziko hivi au ni yangu tuu? Ushauri Jamani