Tupo tayari kuunda "NATO" ya kiarabu: JORDAN

Tupo tayari kuunda "NATO" ya kiarabu: JORDAN

Waungane na umoja wa ulaya mashariki unaoihusisha Russia , hapo itakuwa na uhai kamili kwani itakuwa na mbabe wa upande wa pili. Hili likifanyika mzee mwenzangu wa kusalimia vuvuli sijui atasalimianini Sasa.

Hili nalo ni neno, ahsante chief
 
View attachment 2271611View attachment 2271612View attachment 2271613

Itapendeza sana ikiwa hivi
1 Oman
2 Emirates
3 Saudia Arabia
4 Qatar
5 Bahrain
6 Kuwait
7 Egypt
8 Jordan
9 Algeria
10 Morocco
11 Tunisia
12 Palestina
13 Lebanon

Tunawaombea heri kubwa hawa ndugu zetu ,Mwenyezi Mungu awafanyie wepesi jambo lao litimie.

Ambae itamchoma na kumuumiza hii mada, tafadhali asome na kusepa. Matusi n.k hapana!

Waabeja sana!
Hiyo ni ndoto ya mchana. hilo ni Jambo lisiloweza kufanikiwa
 
waarabu hawana umoja kama wazungu... hata kama watakuwa na nato yao bado kuna vitu vitafanyika ili kuwagombanisha... wazungu wataweka vibaraka wao na mambo hayataenda vizuri
waarabu na sisi watu weusi tunashida sana
 
Wakiungana nao na kuwa imara kijeshi dunia haitakuwa mahali salama pa kuishi...tunawajua kwa itikadi zao za chinjachinja kwa wasio amini katika itikadi zao.

Huo umoja ufe na usitoke hapa duniani.

Long live USA and Europe.

#MaendeleoHayanaChama
 
Wakiungana nao na kuwa imara kijeshi dunia haitakuwa mahali salama pa kuishi...tunawajua kwa itikadi zao za chinjachinja kwa wasio amini katika itikadi zao.

Huo umoja ufe na usitoke hapa duniani.

Long live USA and Europe.

#MaendeleoHayanaChama

Sawa mmarekani mweusi,, naona udini unakusumbua,,,na mtaendelea kubondwa sana risasi,,, sipati picha moja kati ya nchi za kiarabu wafanye mauwaji kama wafanyavyo marekani,,aise aise aisee.
 
Kwahio kutoa mawazo nchi moja ndio unafkri itakua kweli[emoji23][emoji23][emoji1787], haya eheee tuambie hio nato ya kiarabu ndio anaungiwa nani ?
 
Kwahio kutoa mawazo nchi moja ndio unafkri itakua kweli[emoji23][emoji23][emoji1787], haya eheee tuambie hio nato ya kiarabu ndio anaungiwa nani ?
Sijajua mkuu, iran sio!

Kosa wakiwashirikisha (Saudia na Emirates) , huyo saudia ni kibaraka wa marekani. Nadhani unajua hilo.
 
Waarabu wameweza nini mpaka sasa? Kwanini hawapendani?

Hawana umoja, hilo ndio tatizo. Wazungu kinachowasaidia ni umoja na ushirikiano,,, mwenzao akipatikana na tatizo wako tayali kumsaidia kwa hali yoyote, iwe vita ama kuyumba kwa uchumi.,,, refer vita kati ya urusi na ukraine,, ukraine wanasaidiwa silaha+mamluki kupigana na majeshi ya mwamba puttin.

Lakinii vita ya Iraq hakuna nchi yoyote ya kiarabu iliyo ingilia kati kumsaidia saddam. Ukija kwa libya hivyo hivyo, hakuna nchi ya kiarabu ama afrika iliyopeleka jeshi kumsaidia gaddaffi, mpaka umauti umemfika. Ukija kwa syria hivyo hivyo.
 
Hawana umoja, hilo ndio tatizo. Wazungu kinachowasaidia ni umoja na ushirikiano,,, mwenzao akipatikana na tatizo wako tayali kumsaidia kwa hali yoyote, iwe vita ama kuyumba kwa uchumi.,,, refer vita kati ya urusi na ukraine,, ukraine wanasaidiwa silaha+mamluki kupigana na majeshi ya mwamba puttin.

Lakinii vita ya Iraq hakuna nchi yoyote ya kiarabu iliyo ingilia kati kumsaidia saddam. Ukija kwa libya hivyo hivyo, hakuna nchi ya kiarabu ama afrika iliyopeleka jeshi kumsaidia gaddaffi, mpaka umauti umemfika. Ukija kwa syria hivyo hivyo.
Hilo ndilo tatizo lao kubwa, wangekuwa na umoja hata Amerika isingekuwa kimbilio lao,wangekuwa kama Urusi ilivyo. Saudia haielewani na Qatar,sijui Lebanon haipatan na Syiria,yan wapo wapo tu
 
Back
Top Bottom