mwandende
JF-Expert Member
- Feb 16, 2017
- 11,005
- 20,805
Saudia Arabia ni kibaraka wa Marekani,
Wala hatokubaliana na hayo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wala hatokubaliana na hayo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeah hawatokubali kushiriki kabisaOman wana uhusiano mzuri sana sana na iran, miaka na miaka.
14. LoliondoView attachment 2271611View attachment 2271612View attachment 2271613
Itapendeza sana ikiwa hivi
1 Oman
2 Emirates
3 Saudia Arabia
4 Qatar
5 Bahrain
6 Kuwait
7 Egypt
8 Jordan
9 Algeria
10 Morocco
11 Tunisia
12 Palestina
13 Lebanon
Tunawaombea heri kubwa hawa ndugu zetu ,Mwenyezi Mungu awafanyie wepesi jambo lao litimie.
Ambae itamchoma na kumuumiza hii mada, tafadhali asome na kusepa. Matusi n.k hapana!
Waabeja sana!
Nakuona ukiumia moyoni, but no way kuwa mpole tu,,,,,14. Loliondo
Morocco na Algeria hawapikiki chungu kimoja.View attachment 2271611View attachment 2271612View attachment 2271613
Itapendeza sana ikiwa hivi
1 Oman
2 Emirates
3 Saudia Arabia
4 Qatar
5 Bahrain
6 Kuwait
7 Egypt
8 Jordan
9 Algeria
10 Morocco
11 Tunisia
12 Palestina
13 Lebanon
Tunawaombea heri kubwa hawa ndugu zetu ,Mwenyezi Mungu awafanyie wepesi jambo lao litimie.
Ambae itamchoma na kumuumiza hii mada, tafadhali asome na kusepa. Matusi n.k hapana!
Waabeja sana!
DuhhMorocco na Algeria hawapikiki chungu kimoja.
Wana mgogoro wa muda mrefu Sana kuhusiana na Uhuru wa Sahara magharibiDuhh
Wana mgogoro wa muda mrefu Sana kuhusiana na Uhuru wa Sahara magharibi
14. IranView attachment 2271611View attachment 2271612View attachment 2271613
Itapendeza sana ikiwa hivi
1 Oman
2 Emirates
3 Saudia Arabia
4 Qatar
5 Bahrain
6 Kuwait
7 Egypt
8 Jordan
9 Algeria
10 Morocco
11 Tunisia
12 Palestina
13 Lebanon
Tunawaombea heri kubwa hawa ndugu zetu ,Mwenyezi Mungu awafanyie wepesi jambo lao litimie.
Ambae itamchoma na kumuumiza hii mada, tafadhali asome na kusepa. Matusi n.k hapana!
Waabeja sana!
14. Iran
15. Iraq
View attachment 2271611View attachment 2271612View attachment 2271613
Itapendeza sana ikiwa hivi
1 Oman
2 Emirates
3 Saudia Arabia
4 Qatar
5 Bahrain
6 Kuwait
7 Egypt
8 Jordan
9 Algeria
10 Morocco
11 Tunisia
12 Palestina
13 Lebanon
Tunawaombea heri kubwa hawa ndugu zetu ,Mwenyezi Mungu awafanyie wepesi jambo lao litimie.
Ambae itamchoma na kumuumiza hii mada, tafadhali asome na kusepa. Matusi n.k hapana!
Waabeja sana!
Wanayo tayari. Inaitwa Middle East and North Africa (MINA). Sema labda kuna mambo ambayo wanaona wayaongeze.
itakua NATO ya kibisa
Kuepusha mambo kama haya ndio maana Uingereza na Marekani wakaunda taifa la Israel ndani ya mashariki ya kati. Kazi ya Muisrael ni kuvurugwa utaratibu kama huu na ndivyo anavyoandaliwa Rwanda kuleta ujinga kama huu Afrika ili Marekani atupige vizuri