Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wenye mawazo ya kipumbavu no wenye mtazamo kama wako,pia yaweza kuwa sii kosa la wenyemtazamo kama wako ila yawezakuwa ni tatizo la afya ya akili.Nadhani uelewa wenu ni kipumbavu, chanjo anayopewa mazungu sio unayopewa wewe, na uwezi wao wa kukidhi hizo chanjo ni mkubwa Sana sasa iweje waanze na na group?
Hiyo ni zuga tu mnatakiwa kufa Ila hamjijui
Acha upotoshaji elezea pia kwanini zisitumike maeneo hayo,au unafikiri ni bora liende kama nyie.Mkuu we kusanya familia yako yote na ukoo wako wote ukachanjwe mbona hakuna shida.
Kwann iwe chanjo tu kwa waafrika pekee?
View attachment 1687468
certified idiot, umezaliwa na mandui na machanjo kibao mpaka umekua na ndevu lakini unajifanya kuikebehi..Hao u
Hao unaofikili chanjo yao ni nzuri mbona bado wanaogopa corona?
Kwa nini wasijipige hizo chanjo kisha wajichanganye na wengine kwa kuwa wao hawatazurika?
Wao Wana chanjo kisha wanaogopa corona sasa huo sio ni uninga?
Bado kuna wapunbavu Kama ninyi bado mnawaanini kwenye hiyo chanjo.
Tumieni akiri zenu.
Kwani Tundu Lisu ameshachanjwa?
Nadhani mnachangia huku Bila kutumia akiri na dio maana mnarudia kitu ambacho kimeshauliwa tayari, raisi kasema hizo chanjo zikaguliwe kwanza, pili Kama zina uhakika kwa nini hao wenye nazo bado wanaogopa corona wakati chanjo wanayo?certified idiot, umezaliwa na mandui na machanjo kibao mpaka umekua na ndevu lakini unajifanya kuikebehi..
Ruhusuni hiyo chanjo pelekeni maabara mkai 'grade, si mna wataaluma nyie? au ndo wale mnawapeleka kwenye siasa majitaka?
Kabla cjakujibu nijibu na ww kwann zisisambazwe US,CANADA NA EU?Ok Sasa tatizo hapo ni Africa au Uafrica yaani ngozi nyeusi. Sababu hata huko kwao ngozi nyeusi wako wengi tu . Hebu tusaidiane mawazo. Tukikumbishana kwanza hii sio chanjo ya kwanza kutolewa toka 1960s huko Tanzania chanjo tumechanjwa za kuzuia ndui n.k
Na Kama zingekuwa ni chanjo kwann wao wenyewe waliozitengeneza bado wanaogopa CORONA?,,Mkuu we kusanya familia yako yote na ukoo wako wote ukachanjwe mbona hakuna shida.
Kwann iwe chanjo tu kwa waafrika pekee?
View attachment 1687468
Remdesivir sio chanjo (vaccine ) bali ni dawa halisi (real medicine)inayotumika kwa matibabu ya wagonjwa wa COVID19 kwa watu wazima na watoto, ambao wamelazwa hospitalini wakiwa na dalili kali za ugonjwa huo. Dawa hiyo inapatikana katika vichupa vya 100 mg (Injectable) na hutolewa chini ya usimamizi wa daktari aliyesajiliwa katika nchi ambazo dawa hiyo imesajiliwa.Mkuu we kusanya familia yako yote na ukoo wako wote ukachanjwe mbona hakuna shida.
Kwann iwe chanjo tu kwa waafrika pekee?
View attachment 1687468
Tanzania hatujaanza kutumia chanjo leo kutoka kwa wazungu. Hivi sasa mpaka mtoto anakuwa, anachomwa chanjo mbali mbali sio chini ya mara 5. Taanzania haijawai hata kutengeneza chanjo yoyote toka ipate uhuru.....
Tanzania hatujaanza kutumia chanjo leo kutoka kwa wazungu. Hivi sasa mpaka mtoto anakuwa, anachomwa chanjo mbali mbali sio chini ya mara 5. Taanzania haijawai hata kutengeneza chanjo yoyote toka ipate uhuru.
Tanzania hatujaanza kutumia chanjo leo kutoka kwa wazungu. Hivi sasa mpaka mtoto anakuwa, anachomwa chanjo mbali mbali sio chini ya mara 5. Taanzania haijawai hata kutengeneza chanjo yoyote toka ipate uhuru...
Mimi ni Mtanzania ambaye nipo USA kwenye usimamizi wa kusaidia hospitali kwenye madawa. Chanjo zote ukiacha za China na Russia zimefanyiwa majaribio na madaktari kutoka nchi mbalimbali...
Tatzo la hiyo chanzo ya COVID-19 linaanzia hapa kwenye maelekezo,kwahiyo Kama unauwezo wa kujihoji jihoji jipe majibu afu jiulize kwann kwa Waafrika na siyo kwawazungu??View attachment 1687410View attachment 1687411