Tupumzike sasa sio kwa joto hili la Dar es Salaam

Tupumzike sasa sio kwa joto hili la Dar es Salaam

WATAALAM WANASEMA

........TAHADHARI..... .......
Kuanzia leo saa 5:00 asubuhi: Kwa masaa 27 tutashuhudia PHENOMENON ya APHELION. Dunia itakuwa mbali sana na Jua ☀️. Hatuwezi kuona hali hiyo, lakini TUNAWEZA kuhisi athari yake. Hii itadumu hadi mwezi wa Agosti.

Tutakuwa na hali ya baridi, ZAIDI KULIKO KAWAIDA, ambayo itasababisha homa, kikohozi, shida ya kupumua, n.k. Tunapaswa kuongeza kinga kwa kula vitamini na virutubisho ili kuimarisha afya zetu. Umbali kutoka Dunia kwenda Jua ni dakika 5 za mwanga au kilomita milioni 90.

Hali ya Aphelion inatufikisha umbali wa kilomita milioni 152 kutoka Jua, yaani, 66% zaidi. Hewa itakuwa baridi, miili yetu haiko sawa na joto hili, kuna tofauti kubwa. Tunapaswa kudumisha hali zetu za afya kadri iwezekanavyo, haijalishi ikiwa ni mawingu au jua, ongezeko la baridi litakuwa sawa!!!

Wale wenzangu na mimi wa kimasihara ndo wakati wenu huu

Vijana play safe Se.x is overrated play safe kama kijana usikubali kutafuta matatizo ambayo yataharibu bajeti yako ya maisha..
Maana mtaji wetu sisi hustler ni afya ..

Sometimes you have to let nature take its course

TUJILINDE
Wakati wewe wa dar unapumzika na joto, hebu waonee huruma wakazi wa makete ha njombe
 
Back
Top Bottom