Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 29,028
- 69,666
Sasa mm nakaa Manzese, yn n Uswazi hadi kupitilizaWa ushuani utapajulia wapi huku uswazi 🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa mm nakaa Manzese, yn n Uswazi hadi kupitilizaWa ushuani utapajulia wapi huku uswazi 🤣🤣🤣
Ahaha tutaonana kesho...Ajiue tuu kama ana wivu 😂
Nta-report kwa uongozi wakupige ban shauri zakoMbaga kesho mapema kuna uzi special kwa ajiri yako na lamomy...
Na ujumbe mzito sasa jipange
Kisa cha ban ni kipi ahahahNta-report kwa uongozi wakupige ban shauri zako
Sitak matangazo mm na babe wanguKisa cha ban ni kipi ahahah
Uongo 😂😂😂Sasa mm nakaa Manzese, yn n Uswazi hadi kupitiliza
Familia chondechonde usiandike kitu km hiko, nishaandikwa humu mpk nimechoka. Naomba tuendelee kufurahi humu humu kwenye comment pls 🙏Mbaga kesho mapema kuna uzi special kwa ajiri yako na lamomy...
Na ujumbe mzito sasa jipange
Eeh mkaishi sayari nyingine 😂Tuwaachie hii dunia sio
Mm nshamuambia, akiandika uzi tuu lazima nireport kwa mods na niko serious sasa shaur zakeFamilia chondechonde usiandike kitu km hiko, nishaandikwa humu mpk nimechoka. Naomba tuendelee kufurahi humu humu kwenye comment pls 🙏
Kwel love, ungenipigia video call sa ile ungeona mtaa ulivyoUongo 😂😂😂
Yani sipendi hizo mbanga zake anazotaka kuweka.!! Asifanye mwambieMm nshamuambia, akiandika uzi tuu lazima nireport kwa mods na niko serious sasa shaur zake
😂😂😂😂 unakaa uwanja wa fisi?Kwel love, ungenipigia video call sa ile ungeona mtaa ulivyo
Bado unafurahi D yakoSitak matangazo mm na babe wangu
Dkk 10 kwa miguu nafika hilo eneo la tukio 😂 ila uwanja wa fisi n Tandale😂😂😂😂 unakaa uwanja wa fisi?
Muache avuke mipaka tuuYani sipendi hizo mbanga zake anazotaka kuweka.!! Asifanye mwambie
Familia kwa heshima yako tuu ahahaFamilia chondechonde usiandike kitu km hiko, nishaandikwa humu mpk nimechoka. Naomba tuendelee kufurahi humu humu kwenye comment pls 🙏
Shauri zako mkuuBado unafurahi D yako
Daaah manyanyaso hayaEeh mkaishi sayari nyingine 😂
Au sio live live ahahah😂😂😂 na nampenda kweli